FRUIT TREE
JF-Expert Member
- Jun 7, 2018
- 700
- 828
Kuna uhusiano gani kati ya kula haraka na ubonge?Wanaokula haraka wengi wao ni vibonge (sio wote ila wengi). Mimi kama daktari nawashauri muanze kula taratibu, mtafune taratibu. Sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uhusiano gani kati ya kula haraka na ubonge?Wanaokula haraka wengi wao ni vibonge (sio wote ila wengi). Mimi kama daktari nawashauri muanze kula taratibu, mtafune taratibu. Sawa?
Nna ndugu yangu namwambiaga mi siwezi kutoka nae 😀😀nisije onekana km kidume😀anakula taratibu yaani tonge moja anashika simu dakika kumi ndo anakuja kula tena hapo mi nshamaliza zamaaaani nimeshiba mpaka nimesahau ye bado tuMim bib yangu alikuwa akiniambia kula haraka chakula kitapoa kikose ladha,
Ila kuna watu nawafaham wanakula polepole mpaka chakula kinapoaaa wanakula wanapumzika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imagine mtu anakula halaf anapumzika
Nafikiria uzi wetu tuNimeoa Mkuu, vipi?.
Mpo wengi msio na ustaarabuMkuu Nafurah kuona tupo wengi.
Nilihisi nimimi Sina ustaharabu !
Basi itakuwa unakula kwa kiasi.Mkuuu Mimi ni mwembamba na Sina kitambi .
Au niongeze kiasi Cha Msosi?.
Madaftari matatu? Mbona kama chai DemiBasi itakuwa unakula kwa kiasi.
Mimi pia nipo hivyo, nakula haraka sana na niliamua kutojivunga yaani sina aibu hata kama ni first date speed ni ile ile.
Pia nina uwezo wa kuandika haraka..nilivyokuwa primary nilikuwa naenda sambamba na mwalimu ubaoni halafu naandika madaftari mawili na la rafiki yangu, sometimes madaftari matatu. Mwalimu akimaliza na mimi namfatia. Sijui kama bado nina uwezo huo tena maana sifanyi kazi ya kushika kalamu.
Nilikuaga siwezi kula haraka JKT ikanifunza 😀😀utachagua ule haraka urudi combania kwako kwa raha au ule taratibu urudi kwa kichura😅 mezeni tu mkikabwa mtajua wenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣 Wee Sasa ndio unaonyesha maana halisi ya haraka .Basi itakuwa unakula kwa kiasi.
Mimi pia nipo hivyo, nakula haraka sana na niliamua kutojivunga yaani sina aibu hata kama ni first date speed ni ile ile.
Pia nina uwezo wa kuandika haraka..nilivyokuwa primary nilikuwa naenda sambamba na mwalimu ubaoni halafu naandika madaftari mawili na la rafiki yangu, sometimes madaftari matatu. Mwalimu akimaliza na mimi namfatia. Sijui kama bado nina uwezo huo tena maana sifanyi kazi ya kushika kalamu.
Mie daktari wa mchongo nimejipakazia tu😃, ngoja madaktari watatujibu hapaKuna uhusiano gani kati ya kula haraka na ubonge?
Uchaguzi ni wako 🤣🤣🤣Nilikuaga siwezi kula haraka JKT ikanifunza 😀😀utachagua ule haraka urudi combania kwako kwa raha au ule taratibu urudi kwa kichura
🤣 apo ulikamatika kwahyo baada ya kutoka JKT ndio ikawa ndio utaratibu wako kula haraka?Nilikuaga siwezi kula haraka JKT ikanifunza 😀😀utachagua ule haraka urudi combania kwako kwa raha au ule taratibu urudi kwa kichura
Siku ya kwanza natoka na huyu mwamba wangu. Alinishangaa sana...🤣🤣🤣🤣🤣 Wee Sasa ndio unaonyesha maana halisi ya haraka .
Hapo Kwenye kutokujivunga mkiwa Mtoko, nimepapendaaaa
Hii nayo ni kula chakula kimasihara au, mbn imeletwa jukwaa hil?Mimi banaa, nmekulia kwenye huu ustaharabu wa Kila mtu na Sahani yake.
Lakini napo ilikua inanibidi kumwambia mwanandugu tuchanganye Msosi tule fasta fasta , sio kwamba lengo lilikua nikumpiga KO kama ambavyo wengi wasomaji mwaweza kudhania, la Hasha, lengo ilikuaga ni Ili tuwahi kumaliza Chakula ,Kuna wakati nilikua naamua kumuachia mtu Chakula. Ipo hivi, sipendi kutumia muda mwingi wakati wa Kula yaan najihisi
Napoteza muda, kile kipindi cha ukuaji na usomaji wa shule, nilikua namambo mengi mnoo, mpiraa, kucheza na watoto wenzangu, Kusoma, yaaan Kuna wakati nilikua hata Naskip Msosi, tabia ya kuskip Msosi hata Leo ninayo, yaan ikitokea tuu Nina Ubize mwingi au Nina jambo ambalo linahitaji utulivu wa akili, niwe kazin au Nyumban, aiseee kama Nimeamka nalo Asubuhi , basi ni mpaka nitakapolimaliza vizuri ndio Sasa nikumbuke kula, hapo chai sijanywa, cha mchana sijala.
Kipindi nasoma Sekondari na Hadi Chuo, nilikua kama Nina kazi za kitaaluma, aiseeee Chakula kinakua nje kwanza ya ratiba zangu , ni mpaka nimalize kazi hizo na tena Kwa Njaa Ile, ndio nilikua nikizifanya Kwa umakini sana na vinakaa kichwan sana...Nikija kwenye kula, basi nakula chapuchapu, niwahi kumaliza nifanye mambo mengine!
Mimi naweza kula Nimesimama yaan ilimradi tu nikimbizane na kitu fulani.
Nashukuru Wife wangu ananijua, maana tulitoka naye mbali, ila hata yeye Kila siku lazima nimuache mezani , yeye anajilisha taraaaaatibuuuu. Mimi siwezi.
Sasa Bwana nikiwa ugenini kasheshee bin kasheshee, yaani hapo ili nitumie muda mrefu, inanibidi Nile huku napiga stori vyauongo na kweli. Nile huku natumbua macho kwenye TV na Kujifanya fanya Sina taimu na Msosi kumbe hapo unakuta nazuga tu na nataman muondoke Mara Moja ,Nile chap ,mrudi nikute nimamaliza[emoji1787][emoji1787]
[emoji117]Sijihisi kushiba. Ebwana eeehhh nikila taratibu taratibu nakua Sijihisi kushiba, yaaan najihisi tumbo langu halipokei kitu kabisaa, Kooo halipitishi kitu kabisaa, na ikitokea Ivo kwenye mazingira Fulani. Basi nitafanya namna niende Mahali nikapige Msosi upya!
Ile tunasema tafuna Chakula kwanza kiwe lojolojo ndio umeze, eeeeehhh hapo Mimi ndio naonaga Napoteza muda, Chakula kikiwa kinywan nakigeuza Moja, mbili ,tatu, ili mradi nimekivunjavunja, basiiiiiiiii namezaa!
Sasa kweli wali, wali jaman niutafune kinywani Kwa muda mrefu,?? Ili iweje ? Wenyewe tu tu tupunje tudogotudogo , wali ni pa paa paa meza, kwanza ukitafuna tafuna sanaaa matokeo yake ndo kutafuna Mawee uanze kulaumu mpishi!
Kuna Siku nmetoka na Bidada wangu Mmoja Boss fulan ivi, basii nikaagiza Nyama ya Mbuzi kilo ya kukaanga na ndizi mkaango na Juice fresh, yeye nikamuagizia Kilo ya Kitimoto na mapombe yake, sasa Mwanangu, Yule Bidada ni Boss alafu Ana cheo Cha kuchaguliwa.
Wakuu nikawa najifanya kula taratibu taratibu , uzalendo ukanishinda nikamchana Laivu, Oyaaa Mimi kula taratibu SIWEZI, ngoja nikipigee chapchap , sema ni vile ma Bidada mabonge hayanaga shida, yenyewe ni kuchekacheka tu basi [emoji1787][emoji1787] nikala Kwa speed yangu!
Siku hizi sijipi shida, Pesa yangu, tutoke out au ndio Niko mwenyewe, kwann nisile navyotaka?
Sijawah kuzid dkk10 ktk kula chakula cha aina yyte kileMimi banaa, nmekulia kwenye huu ustaharabu wa Kila mtu na Sahani yake.
Lakini napo ilikua inanibidi kumwambia mwanandugu tuchanganye Msosi tule fasta fasta , sio kwamba lengo lilikua nikumpiga KO kama ambavyo wengi wasomaji mwaweza kudhania, la Hasha, lengo ilikuaga ni Ili tuwahi kumaliza Chakula ,Kuna wakati nilikua naamua kumuachia mtu Chakula. Ipo hivi, sipendi kutumia muda mwingi wakati wa Kula yaan najihisi
Napoteza muda, kile kipindi cha ukuaji na usomaji wa shule, nilikua namambo mengi mnoo, mpiraa, kucheza na watoto wenzangu, Kusoma, yaaan Kuna wakati nilikua hata Naskip Msosi, tabia ya kuskip Msosi hata Leo ninayo, yaan ikitokea tuu Nina Ubize mwingi au Nina jambo ambalo linahitaji utulivu wa akili, niwe kazin au Nyumban, aiseee kama Nimeamka nalo Asubuhi , basi ni mpaka nitakapolimaliza vizuri ndio Sasa nikumbuke kula, hapo chai sijanywa, cha mchana sijala.
Kipindi nasoma Sekondari na Hadi Chuo, nilikua kama Nina kazi za kitaaluma, aiseeee Chakula kinakua nje kwanza ya ratiba zangu , ni mpaka nimalize kazi hizo na tena Kwa Njaa Ile, ndio nilikua nikizifanya Kwa umakini sana na vinakaa kichwan sana...Nikija kwenye kula, basi nakula chapuchapu, niwahi kumaliza nifanye mambo mengine!
Mimi naweza kula Nimesimama yaan ilimradi tu nikimbizane na kitu fulani.
Nashukuru Wife wangu ananijua, maana tulitoka naye mbali, ila hata yeye Kila siku lazima nimuache mezani , yeye anajilisha taraaaaatibuuuu. Mimi siwezi.
Sasa Bwana nikiwa ugenini kasheshee bin kasheshee, yaani hapo ili nitumie muda mrefu, inanibidi Nile huku napiga stori vyauongo na kweli. Nile huku natumbua macho kwenye TV na Kujifanya fanya Sina taimu na Msosi kumbe hapo unakuta nazuga tu na nataman muondoke Mara Moja ,Nile chap ,mrudi nikute nimamaliza[emoji1787][emoji1787]
[emoji117]Sijihisi kushiba. Ebwana eeehhh nikila taratibu taratibu nakua Sijihisi kushiba, yaaan najihisi tumbo langu halipokei kitu kabisaa, Kooo halipitishi kitu kabisaa, na ikitokea Ivo kwenye mazingira Fulani. Basi nitafanya namna niende Mahali nikapige Msosi upya!
Ile tunasema tafuna Chakula kwanza kiwe lojolojo ndio umeze, eeeeehhh hapo Mimi ndio naonaga Napoteza muda, Chakula kikiwa kinywan nakigeuza Moja, mbili ,tatu, ili mradi nimekivunjavunja, basiiiiiiiii namezaa!
Sasa kweli wali, wali jaman niutafune kinywani Kwa muda mrefu,?? Ili iweje ? Wenyewe tu tu tupunje tudogotudogo , wali ni pa paa paa meza, kwanza ukitafuna tafuna sanaaa matokeo yake ndo kutafuna Mawee uanze kulaumu mpishi!
Kuna Siku nmetoka na Bidada wangu Mmoja Boss fulan ivi, basii nikaagiza Nyama ya Mbuzi kilo ya kukaanga na ndizi mkaango na Juice fresh, yeye nikamuagizia Kilo ya Kitimoto na mapombe yake, sasa Mwanangu, Yule Bidada ni Boss alafu Ana cheo Cha kuchaguliwa.
Wakuu nikawa najifanya kula taratibu taratibu , uzalendo ukanishinda nikamchana Laivu, Oyaaa Mimi kula taratibu SIWEZI, ngoja nikipigee chapchap , sema ni vile ma Bidada mabonge hayanaga shida, yenyewe ni kuchekacheka tu basi [emoji1787][emoji1787] nikala Kwa speed yangu!
Siku hizi sijipi shida, Pesa yangu, tutoke out au ndio Niko mwenyewe, kwann nisile navyotaka?
We inywe tu maana hata mchana bado haujafika😅😅😅😅😅😅Madaftari matatu? Mbona kama chai Demi
Sawa Mkuu sio mbaya Kama unakula speed lakini unakula Sana ni Jambo jema sisi wengine robo hatumalizi ya wali na tuna speed katika kulaRobo kilo inayokaribia nusu Kwa wali ndio kiwango changu !!. Ila ugali nakula mkubwa siunajua Usukuma huu
Sawa daktari Demi😅We inywe tu maana hata mchana bado haujafika😅😅😅😅😅😅