Hivi ni mimi tu binafsi siipendi hii tabia wakati wa kunyanduana au tuko wengi

Mith 23:7 Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
 
Dawa yake mfanyie kwenye maji ili mkichafuane kila mtu aonyeshe watoto wake
 
utakuwa umekula ada
 
Bora sikukuu ziishe tu tuingie January watu watulie kidogo maana naona mada za nyuchi, miti, mbususu na mishedede zimeshamiri sana kipindi hiki mpaka jukwaa zima linanuka harufu ya ngono na nyeto
 
hata mimi kwa fikra zangu huwa ni kazi ya mwanamke na huwa nakereka sana ninapojikuta naifanya nini
Kwahiyo wanawake 20 wote wamekulazimisha uwasafishe nyeti zao[emoji23]
au ni wewe mwenyewe huwa unajitolea?
Kama unaamua mwenyewe unadhani wao watafanya nini?
Vinginevyo ukiwa na mwanamke usingoje akuongoze, muongoze bro
 
Usianze kuuliza kama mimba ni yako mambo yakiiva
 
Moderator nyuzi kama hizi zinatujazia server tu

Sent from kekojuuuuwanjawamchangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…