Hivi ni mimi tu binafsi siipendi hii tabia wakati wa kunyanduana au tuko wengi

Miongoni mwa watu watakaopata adhabu kali sana mbele ya hukumu ya Mungu ni wale WAFANYAO DHAMBI KISHA WAKAITANGAZA (WAKAJIFAHARISHA) JUU YA DHAMBI WALIOITENDA BADALA YA KUJUTA NA KULETA TOBA KWA MUNGU .

Mwenyezi Mungu anasema yeye ANASAMEHE DHAMBI ZOTE

Nenda katubu brother wanawake zaidi ya 20 tofauti tofauti, khaaa ase na bado ni kijana maana yake idadi itaongezeka

Badilika kwanza kabla yakuendelea kuomba ushauri .

Ishi utakavyoishi ila hutofika miaka 120 na utakwenda kulipwa kila jambo ulilofanya hapa duniani. Salama yako ni kutubu na kuacha hayo !!!¡!!!¡
 
Mbona kazi.... Kwaiyo umekuja kunitangaza kwamba sikufuti.
 
 
Ukorofi huo KENZY
 
Sasa kama ulizama uvinza,, kwanini unalalamika kumfuta...??...

angalau fikisha mademu 47 ndio utoe tathmini,, 20 bado wachache sana
 
Kwani kila mtu akijifuta kuna shida gani? Hao wanawake mnawaonea sasa
 
Ety,, me nataka nijue.. hv uke mda wa kufuta mnafuta ule utelezi wa mwanamke(mucus) au shahawa za mwanamme...?
Na kama shahawa .bona Zinakuwa zimeinhia moja kwa moja kwenye shimo la mwanamke..?
 
Wenzetu NASA wamefanikiwa kukifikisha chombo Chao kwenye anga la jua.huku africa watu wanaulizia mambo ya kufutana shahawa.
 
Kwhyo kinachomwagika pale kinaitwa "genye"!!?
Sawa tumekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…