Hivi ni nani anawadanganya watanzania kuwa lockdown haifanyi kazi? Hata kama tumeigomea, tuache kupotoshana!

Ndio maana unashauriwa kajifungie wewe kwanza.

Kwani maisha ya wengine, mfano mimi, yanakuhusu nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lockdown inasaidia sana tatizo ni kuumiza uchumi. Kuna nchi moja ya Africa walipopata mgonjwa mmoja tu walilock down na kufuatlia kwa umakini mkubwa sana. Amekufa mgonjwa mmoja tu na maambukizi ni 23 na kati ya hao 17 wamepona. Walichfanya ni kugawa chakula kwa watu wasiokuwa na uwezo na kusaidia kiasi fulani cha pesa kwa zile kampuni zilizohadhirika na lockdown na ambazo zinalipa kodi serikalini kwa ajili ya kusaidia malipo ya mishahara ya wafanyakzi.
 
This is the bottom line!👍🏽👏🏽
 
Nashukuru sana kwa ushahidi huu kuwa ni suala lililowezekana kufanyika tokea mwanzo kama tungekuwa serious!

Labda waseme lockdown haifai kwasababu tumechelewa!
 
Nimetoa hiyo mifano baada ya kusoma ulichoandika na wewe kutumia mifano ya Ohio, USA kutaka kuhalalisha lockdown TZ, ...
Ni kweli kwasababu lockdown ya Ohio ilianza kabla ya lockdown ya USA na matokeo yanaonekana na gavana Dewine anasikilizwa kuliko Trumppatula.
 
Eritrea hawajapiga lockdown na wamemaliza ugonjwa .. lockdown sio tiba ya corona ni njia ya kupunguza maambukizi kama ilivyo kuosha mikono kwa sabuni na maji


It is never too late to begin. Start now
Acha uongo! Either unaongopa kwa makusudi, au labda kwa ujinga wa kutokufahamu? Kumbuka ujinga siyo tusi!


The country has been in a nation-wide lockdown to slow the transmission of the virus since April 1.

The pandemic has not yet reached its peak in Eritrea, but all signs indicate that the country is heading for catastrophe.
Can Eritrea's government survive the coronavirus?
 
Dogo wewe unaishi kwa sister hujui yanayoendelea, endelea kumuamkia shemeji ule ugali.
 
Sijui watu wamesahau kuwa mipaka iliachwa wazi hadi imejifunga yenyewe baada ya majirani kufunga yao?! Same thing happened with airspace!

Tulianza kusema watalii wasipokuja, uchumi utayumba, wachina wakawa wanapokelewa kama watoto wa mjomba na shangazi! Mpaka nchi nyingine zimejilockdown! Ndo tunajidai kushtuka kinafki!

Kwa kifupi, walichaguwa kutokufanya kitu. Hili limesababisha nianze kufikiria madhumuni haswa ya kufunga shule na vyuo!
 
Duniani kote lockdown ilikofanyika ESSENTIAL GOODS zinaruhusiwa kupita mipakani.

Ndio maana mmeambiwa hamjui maana ya Lockdown.
Exactly, wlaichotakiwa ni kuimarisha tahadhari na vipimo kwenye idara ya usafirishaji! Unaposema wanatutegemea, hata kama ni kweli, siyo eti ulazimishie kiwapelekea virusi, hilo ni kuhatarisha usalama wa nchi zao, wanaweza wakaungana kuudhibiti ujinga wetu huu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…