Nilibadili account niliyoanza nayo.Lakini account ukatengeneza 2011 ππ
Le mutuz from NY city sauti ya umeme na mkewe toka knaitwa jambo forum
Mean a malice chase your goals stay away from a bitch ππππI mean no malice to nobody
β€οΈβ€οΈππNilianza kabla haijawa Jamii Forums, nilianza na Jambo Forums 2007.
Cheusimangara, balantanda, kibunango na wengine,GameKweli Field Marshal ES Mzee wa Sauti ya Umeme I'm Humbled you know Ha ha ha nipo down town "Manhahen", "siaro".
Kichuguu , Rais wa Wabeba Box Nyani.
Makonki ni wale 2006-2008 ,hawa wa kuanzia 2009 kuendelea waliletwa na wimbi....Mimi nilikuwa napitia Jambo Forums ila sijajiunga ila websites zake nilizisave 2008 post za Bubu Ataka Kusema(BAK) ,Mzee Mwanakijiji ,Yo Yo ,Mwafrika(Kitila Mkumbo)