Hivi ni nini kipo kwa vijana wa Makumbusho, mbona watu wana wadiss sana?

Hivi ni nini kipo kwa vijana wa Makumbusho, mbona watu wana wadiss sana?

Dah ukitaka kupata stress hangaika kufatilia how people live their lives and how they spend their money.
 
Najua kuandika...kusoma sijui Mkuu..
sasa usishobokee comments na hujui kusoma au uelewa mdogo. Soma dadavua au omba mtu akueleweshe. Jf watu ni much know sana alafu hamsomi, nyie hata maoni mnapinga baada ya kuchangia.
 
Ila wengi pale Mashoga wengine wamehamia frame za maduka nje ya Mlimani city (kama unaoelekea Survey)
Ya kweli haya?

Maana kuna classmate wangu tulimaliza wote chuo...ndani ya mwaka mmoja ana gari, anapanga nyumba nzima, ana crown na amefuga ndevu na amezidi kuwa mweupe...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
  • Kicheko
Reactions: K11
NAwe utudangie mimi nipo tayari kuinunua
Dear sweetie,
Time and ability plus double capacity have forced my thumbs to dance automatically on this Maxence Melo's JF platform. I hope you're swimming in the wonderful pool of ignorance there. I am also parambulating in the cool breeze of wisdom.
To say the least, NIMEKUSAMEHE.
Yours,
Sean.
 
Dear sweetie,
Time and ability plus double capacity have forced my thumbs to dance automatically on this Maxence Melo's JF platform. I hope you're swimming in the wonderful pool of ignorance there. I am also parambulating in the cool breeze of wisdom.
To say the least, NIMEKUSAMEHE.
Yours,
Sean.
wW ni mjinga bado kuandika ngeli ndio kwamba kutabadili hilo? Mchango wako wa kwanza unaakisi tabia halisi ya wabongo ya generalisation fallacy
Au nikukumbushe mashudu uliyoandika?
Usiwe jingajinga
 
Wanangu sikilizeni vijana WA makumbusho hawana TOFAUTI na china plaza.ila WA makumbusho wanavimba kidogo.

Jamaa sio mashoga Wala nini bali ni michongo tu inaenda vizuri.msichokijua sasa ni kuwa simu zinalipa balaaaaaaaaaaaaa

Hizo simu karibia 101% sio mpya ni refurbs na used from Dubai au china ila unauziwa kama mpya na watu wanapata faida ya kutosha.mtu akiuza iphone 11 au 12 anakunja Hadi faida ya 200k .Na hapo hajauza simu nyingine kama pixel ,Samsung na LG

Kiufupi faida ipo sana kwenye simu ni ww tu kutafuta wateja wako wako ambao watakupamba

Kutengeneza 200k Hadi 100k kwa siku sio kwao kwao ndio maana unawaona wanatamba na wanakaa nyumba nzuri na wengine wanamiliki gari japo sio wote

Vijana tuache kusagiana kunguni eti kuwa Kila anaeishi vizuri anafanya upuuzi mnao ufikiria.

Nguo Zina Hela na simu zinalipa mno.
Tuacheni chuki za kishamba.

Note
Mimi sio muuza simu makumbusho.
 
wW ni mjinga bado kuandika ngeli ndio kwamba kutabadili hilo? Mchango wako wa kwanza unaakisi tabia halisi ya wabongo ya generalisation fallacy
Au nikukumbushe mashudu uliyoandika?
Usiwe jingajinga
Acha dharau mbwa wewe. Hakuna kitu kisicho na manufaa. Hata maji machafu yanazima moto. Mimi nimetoa maoni yangu kutokana na experience yangu. Kwanini uje kunitukana qummamayo we.
Mimi nilisema wote?
Wapi nilisema wote?
Halafu nimesema madem, wewe ni demu au unawashwa?
Pilipili ya shambani inakuwasha nini?
Come again.
 
Acha dharau mbwa wewe. Hakuna kitu kisicho na manufaa. Hata maji machafu yanazima moto. Mimi nimetoa maoni yangu kutokana na experience yangu. Kwanini uje kunitukana qummamayo we.
Mimi nilisema wote?
Wapi nilisema wote?
Halafu nimesema madem, wewe ni demu au unawashwa?
Pilipili ya shambani inakuwasha nini?
Come again.
Ushapanic.
Matus ya zaman ayo dogo
Njoo araa usikae kifede utang'atwa ndembe hyo. Ilete tuumize ndonga.
 
Ushapanic.
Matus ya zaman ayo dogo
Njoo araa usikae kifede utang'atwa ndembe hyo. Ilete tuumize ndonga.
Sasa mchumba wa chuga mambo ya DSM yanakuhusu nini?
Arusha ni wavuta bangi tu mna sura za kirembo.
Watoto wa kiume mnakuwa weupe weupe kama wakina Asha ngedere? Mna tofauti gani na dada zenu tunaowakaza huku mjini?
 
Sasa mchumba wa chuga mambo ya DSM yanakuhusu nini?
Arusha ni wavuta bangi tu mna sura za kirembo.
Watoto wa kiume mnakuwa weupe weupe kama wakina Asha ngedere? Mna tofauti gani na dada zenu tunaowakaza huku mjini?
🤣🤣🤣 poa bwana
 
Back
Top Bottom