Ndio hatutaki sasa.huko ni kulazimishana imani.kama me ni mpagani je.wasitusumbue asee.tukimiss tutawafata huko kwa maeneo yao maalum ya hzo mambo zao.Kanisani hamuendi ngoja mfatwe huko huko kwenye shughuli zenu
[emoji23][emoji23] kuna watumishi ambao hawana makanisa, wakale wapi sasaNdio hatutaki sasa.huko ni kulazimishana imani.kama me ni mpagani je.wasitusumbue asee.tukimiss tutawafata huko kwa maeneo yao maalum ya hzo mambo zao.
Wachawi mnaangaika sana.ukiwekewa singeli ,poa tu kusikia habari njema unapiga keleleWadau naomba kuzungumzia kuna hili jambo kwa sasa limezidi kushika kasi kuhubiri ndani ya daladala imekuwa sehemu nyingi hasa mabasi ya Tegeta toka mjini yaaani mnakosa utulivu kwenye mabasi na mwisho wa siku wanachangisha sadaka sasa najiuliza hii hali vipi wadau
Kwaio watakasema utumishi nao ni fursa?dooh ajira ngumu asee[emoji3].[emoji23][emoji23] kuna watumishi ambao hawana makanisa, wakale wapi sasa
Habari njema kwako inaweza ikawa kero kwa wengine, ndio maana zimewekwa nyumba za kuabudu ukihitaji habari njema unajua pa kuzipataWachawi mnaangaika sana.ukiwekewa singeli ,poa tu kusikia habari njema unapiga kelele
Ni fursa mkuu, ila wanaboa sanaKwaio watakasema utumishi nao ni fursa?dooh ajira ngumu asee[emoji3].
Wewe hovyo Sana Yaani habari za Mungu zinakuumiza Ila singeli ndiyo iwe habari njema.Wachawi kazi mnayo.Habari njema kwako inaweza ikawa kero kwa wengine, ndio maana zimewekwa nyumba za kuabudu ukihitaji habari njema unajua pa kuzipata
Injili inahubiriwa mahali popote Yesu alihubiri mpaka kwenye MerikebuNdio maana yakajengwa makanisa.ina maana huko akuwatoshi.isitoshe kwenye gari kila mtu ana imani yake.inakua sio ustaharabu mzur.
Zaman sio sasa babu.jifunze kusoma nyakat mazingira.Injili inahubiriwa mahali popote Yesu alihubiri mpaka kwenye Merikebu
Wewe una matatizo. Unalazimisha kwamba habari za Mungu ndio njema, Nani kakwambia? Halafu kwani ni lazima kuamini? Tutazifata huko kwenye makanisa tuondoleeni usumbufu kwenye mabasi. Msilazimishe unaloamini wewe kila mtu aamini. Hata mchawi ana haki zake..Wewe hovyo Sana Yaani habari za Mungu zinakuumiza Ila singeli ndiyo iwe habari njema.Wachawi kazi mnayo.
[emoji3][emoji3] ungeshukaKuna mwaka fulani nilisafiri kipindi cha Pasaka, basi nililopanda wakaweka mawaidha ya dini ya kiislamu, ikawa muda wote ni kuponda ukristo na hiyo sikukuu ya Pasaka.
Ile safari ilikuwa ndefu balaa, na hakuna hata mmoja aliyeweza kumwomba dreva abadili, dreva na kondakta wote wamefuga ndevu.
[emoji3][emoji3] ungeshuka
Hao wamebuni ujasiriamali wa uchumi wa kati.Hao ni watafuta pesa tu(sadaka).
kiukweli hapo hata akiwa wa dini yoyote yule sio ustaarabu.Wewe una matatizo. Unalazimisha kwamba habari za Mungu ndio njema, Nani kakwambia? Halafu kwani ni lazima kuamini? Tutazifata huko kwenye makanisa tuondoleeni usumbufu kwenye mabasi. Msilazimishe unaloamini wewe kila mtu aamini. Hata mchawi ana haki zake..
Mbona wachawi hawaji kanisani kuhubiri sera zao?
Duuh mkuu umefika mbali..[emoji23][emoji23]Wewe una matatizo. Unalazimisha kwamba habari za Mungu ndio njema, Nani kakwambia? Halafu kwani ni lazima kuamini? Tutazifata huko kwenye makanisa tuondoleeni usumbufu kwenye mabasi. Msilazimishe unaloamini wewe kila mtu aamini. Hata mchawi ana haki zake..
Mbona wachawi hawaji kanisani kuhubiri sera zao?