Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mtu kafeli mwenyewe, anakukasirikia wewe ,aargh , hahahahahaMakasiriko for what š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kafeli mwenyewe, anakukasirikia wewe ,aargh , hahahahahaMakasiriko for what š¤£
kuna watu ni vigumu sana kuwaambia sina.Rule no1: jifunze kusema Sina
Rule no2: heshimu rule no1
Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""š£
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Ndio hivyo usikae kinyonge kwa sababu ya upendo wako, mtu akikufanya extra we mtoe kabisa.Noma sana kaka, kuna mtu alishawahi kuniambia haoni umuhimu wangu zaidi ya kuchati tu na mimi eti na mchekesha yaani alinifanya mi ni komediani wake na sina umuhimu mwingine hanitafuti hadi nianze mimi yaani kilichofata
Nilimkaushia maana nilijua sina umuhimu wowote baada ya mwezi mmoja alinitafuta mwenyewe na safari hii alirudi na adabu na akanipa heshima yangu mizani ime balance nikianza kumtafuta leo mimi kesho ni zamu yake
Niambie kaka šDada nikwambieš
Nikwambie kitu...Sasa Kuna wenzenu ndio wapo hiyo era ndio maana nimeleta kero hapa....nakufurahia kama ulishatoka hiyo era
Hiyo ilishapitwa na wakati
Ni kweli kabisa Ila swali la Niambie baada ya salamu š¤£š¤£š¤£Mbona Kuna vi swali simple sana vya kuanza navyo?yaani wanaume hawajui ni rahisi sana kumpoteza mwanamke Kwa kutegemea yeye ndio akwambie....we mwambie,mwambie,mwambieeee tu especially siku za kwanza mwambie akikuzoea atakuambia
Hahahahahaha..Ha haaaa imagine!
Andika wosia mapema...Niambie kaka š
Pesa zako nnazo ila kaka luku inakaribia kukata na huu mtaa una vibaka..!!
Wakiona giza hawachelewi kunivamia!!
Nitoe 30k tununue umeme, pesa zako ziwe kwenye usalama
Mbebe mje wote kanisani š¤£š¤£š sasa mgeni nimuache peke yake, sasa mafundisho ya upendo nilisomea yanini jirani?
Sikukasirika matendo yake yalinifanya tu nijihisi sina umuhimu nikajiweka nafasi ya wasio na umuhimu na nikaacha kuwa msumbufuWe nae ulikasirika Nini?kuongea kitu mwanamke ni dalili anakupenda sana.... mwanaume usiyempenda hata akipumua anakukera sembuse kuongeaš