Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hamna dada ulikuwa wa safari ya kwenda mbinguniHuo Uzi lazima ni WA matusi mbona umeumia hivyo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hamna dada ulikuwa wa safari ya kwenda mbinguniHuo Uzi lazima ni WA matusi mbona umeumia hivyo🤣🤣🤣
Majivu kwanza mambo ingine ni siku nyingine, nampenda Yesu na mambo yake yote ☺Jirani nitaomba majivu wanipe nitajipaka baada ya kuvalentika 🤣🤣🤣
Niambie mamaa!Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""[emoji21]
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Hiyo inatokana na kutojuana sana na mtu sasa inakuwa ngumu ku"Initiate" conversation unasubiri yeye aanze ili upate start up..Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Sasa Kuna wenzenu ndio wapo hiyo era ndio maana nimeleta kero hapa....nakufurahia kama ulishatoka hiyo eraNa mm ntakujibu mihogo siku nyngn... unaonaje twende tukale 🐷🐷🐷!!!
Ila mm na mtazamo tofaut kidogo🤔🤔mm naona tatizo sio hao "team niambie" mi naona shida ipo kwako!
Wakati tunaanza kutumia simu tulikua tunafowardiana sms zngn za mambo ya Imani zingine ngono na mengn baadae kufowadiana sms ikawa kama ushamba tukaacha
Tukawa tunachat tu sms 500+ Kwa siku...kunaweza kusiwe na lengo maalum na tukachat usiku kucha na enyw tukaacha
Ikawa kuwasiliana Kwa kujuliana hali kawaida lkn baada ya kila mtu kupigwa na maisha kivyake kubadili kampana utafutaji mgumu na aina ya utafutaji na venyewe tumeacha
Saiv tunawasiliana Kwa malengo maalum huna la kusema kafie kuzimu yaan mm nireply "mpaji mungu vp" helo" "hi"🤔🤔 Sasa inakuaje ww mpaka Leo upo kwenye error ya niambie?
Mxieeeeww!! Ww ukipata mgeni wa kike hata kanisani hukanyagi 🤣🤣🤣Majivu kwanza mambo ingine ni siku nyingine, nampenda Yesu na mambo yake yote ☺
🤣🤣🤣Utanichukulia Majina yote mawili bas maana Jana sikuchukuaHapo kwa kijumbe ndo penyewe na pesa uzikute kwangu 😜
Unajibiwa fasta msg tena kwa kurudia rudia inawezekana ya kwanza hujaiona 🤣🤣🤣
Mbona Kuna vi swali simple sana vya kuanza navyo?yaani wanaume hawajui ni rahisi sana kumpoteza mwanamke Kwa kutegemea yeye ndio akwambie....we mwambie,mwambie,mwambieeee tu especially siku za kwanza mwambie akikuzoea atakuambiaHiyo inatokana na kutojuana sana na mtu sasa inakuwa ngumu ku"Initiate" conversation unasubiri yeye aanze ili upate start up..
Maana mda hup unakuwa hujui Ni mtu wa namna gani,Kama ana hasira au nikisema hivi atanionaje..
Wakati huo mwanaume anakuwa tayri kashapanga meseji za kuandika na possibility ya majibu anayo kichwani shida anaona shida kuandika alichohisi akiandika hatapata majibu mazuri
Noma sana kaka, kuna mtu alishawahi kuniambia haoni umuhimu wangu zaidi ya kuchati tu na mimi eti na mchekesha yaani alinifanya mi ni komediani wake na sina umuhimu mwingine hanitafuti hadi nianze mimi yaani kilichofataThat's pure maturity, hakuna haja ya kutuma meseji juu ya meseji ambayo haijajibiwa.
Sawa kaka, ila dadaako nna kiu ya safari ya baridi natoa 20k nijipooze kidogo 😜🤣🤣🤣Utanichukulia Majina yote mawili bas maana Jana sikuchukua
Hahahahahaha...Furahia Furahi Day Rafiki 🤣🤣🤣 makasiriko ya nn tena🤣🤣🤣Wapi wewe,ndio maana huna makasiriko
Sasa hivi ukiona simu ujue unakopwa.Saiv tunawasiliana Kwa malengo maalum
We nae ulikasirika Nini?kuongea kitu mwanamke akafurahi ni dalili anakupenda sana.... mwanaume usiyempenda hata akipumua anakukera sembuse kuongea🙆Noma sana kaka, kuna mtu alishawahi kuniambia haoni umuhimu wangu zaidi ya kuchati tu na mimi eti na mchekesha yaani alinifanya mi ni komediani wake na sina umuhimu mwingine.
Nilimkaushia maana nilijua sina umuhimu wowote baada ya mwezi mmoja alinitafuta mwenyewe na safari hii alirudi na adabu na akanipa heshima yangu
Hahahahahaha, dah 🤣 😂 nyie watu nyieWe nae ulikasirika Nini?kuongea kitu mwanamke ni dalili anakupenda sana.... mwanaume usiyempenda hata akipumua anakukera sembuse kuongea🙆
Rule no1: jifunze kusema SinaSasa hivi ukiona simu ujue unakopwa.
😂 sasa mgeni nimuache peke yake, sasa mafundisho ya upendo nilisomea yanini jirani?Mxieeeeww!! Ww ukipata mgeni wa kike hata kanisani hukanyagi 🤣🤣🤣
Tutakuona ijumaa kuu
Dada nikwambie😂Sawa kaka, ila dadaako nna kiu ya safari ya baridi natoa 20k nijipooze kidogo 😜
Hizo zingine zote ziko salama utazikuta