Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""[emoji21]
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Niambie mamaa!
 
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Hiyo inatokana na kutojuana sana na mtu sasa inakuwa ngumu ku"Initiate" conversation unasubiri yeye aanze ili upate start up..

Maana mda hup unakuwa hujui Ni mtu wa namna gani,Kama ana hasira au nikisema hivi atanionaje..
Wakati huo mwanaume anakuwa tayri kashapanga meseji za kuandika na possibility ya majibu anayo kichwani shida anaona shida kuandika alichohisi akiandika hatapata majibu mazuri
 
Na mm ntakujibu mihogo siku nyngn... unaonaje twende tukale 🐷🐷🐷!!!


Ila mm na mtazamo tofaut kidogo🤔🤔mm naona tatizo sio hao "team niambie" mi naona shida ipo kwako!

Wakati tunaanza kutumia simu tulikua tunafowardiana sms zngn za mambo ya Imani zingine ngono na mengn baadae kufowadiana sms ikawa kama ushamba tukaacha

Tukawa tunachat tu sms 500+ Kwa siku...kunaweza kusiwe na lengo maalum na tukachat usiku kucha na enyw tukaacha

Ikawa kuwasiliana Kwa kujuliana hali kawaida lkn baada ya kila mtu kupigwa na maisha kivyake kubadili kampana utafutaji mgumu na aina ya utafutaji na venyewe tumeacha

Saiv tunawasiliana Kwa malengo maalum huna la kusema kafie kuzimu yaan mm nireply "mpaji mungu vp" helo" "hi"🤔🤔 Sasa inakuaje ww mpaka Leo upo kwenye error ya niambie?
Sasa Kuna wenzenu ndio wapo hiyo era ndio maana nimeleta kero hapa....nakufurahia kama ulishatoka hiyo era
 
Hiyo inatokana na kutojuana sana na mtu sasa inakuwa ngumu ku"Initiate" conversation unasubiri yeye aanze ili upate start up..

Maana mda hup unakuwa hujui Ni mtu wa namna gani,Kama ana hasira au nikisema hivi atanionaje..
Wakati huo mwanaume anakuwa tayri kashapanga meseji za kuandika na possibility ya majibu anayo kichwani shida anaona shida kuandika alichohisi akiandika hatapata majibu mazuri
Mbona Kuna vi swali simple sana vya kuanza navyo?yaani wanaume hawajui ni rahisi sana kumpoteza mwanamke Kwa kutegemea yeye ndio akwambie....we mwambie,mwambie,mwambieeee tu especially siku za kwanza mwambie akikuzoea atakuambia
 
That's pure maturity, hakuna haja ya kutuma meseji juu ya meseji ambayo haijajibiwa.
Noma sana kaka, kuna mtu alishawahi kuniambia haoni umuhimu wangu zaidi ya kuchati tu na mimi eti na mchekesha yaani alinifanya mi ni komediani wake na sina umuhimu mwingine hanitafuti hadi nianze mimi yaani kilichofata
Nilimkaushia maana nilijua sina umuhimu wowote baada ya mwezi mmoja alinitafuta mwenyewe na safari hii alirudi na adabu na akanipa heshima yangu mizani ime balance nikianza kumtafuta leo mimi kesho ni zamu yake
 
Noma sana kaka, kuna mtu alishawahi kuniambia haoni umuhimu wangu zaidi ya kuchati tu na mimi eti na mchekesha yaani alinifanya mi ni komediani wake na sina umuhimu mwingine.
Nilimkaushia maana nilijua sina umuhimu wowote baada ya mwezi mmoja alinitafuta mwenyewe na safari hii alirudi na adabu na akanipa heshima yangu
We nae ulikasirika Nini?kuongea kitu mwanamke akafurahi ni dalili anakupenda sana.... mwanaume usiyempenda hata akipumua anakukera sembuse kuongea🙆
 
Back
Top Bottom