Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

😂😂😂 wametubania uzi wetu watu wabaya jamani.
Nilifanyia kazi ushauri wa madame..natakia tu kuweka mawazo yangu kwenye shughuli..ilienda vzr angalau😂😂
Roho imeniuma mimi 🤣🤣🤣
Watu wa jf wana nongwa sana.!!
Wenzao tulishapata pa kupumzikia baada ya miangaiko, wenyewe hao chap wameufunga
 
Ungekua interested na huyo jamaa wala usingemuona msumbufu kilichopo ni kuwa hata salamu yake unaichukulia ni kero.
Binafsi nimeamua kuwa mkax huwa na sense haraka mtu akinichukulia kama vile sina maana au ni msumbufu hasa wanawake, nikikutext mara tatu nikaona negative response baada ya hapo huwa najiweka mbali hutaona meseji yangu tena.
That's pure maturity, hakuna haja ya kutuma meseji juu ya meseji ambayo haijajibiwa.
 
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Kwani ukimwambia unataka atakujibu Nini?
 
Yaaap hii ndio mwanaume rijali anatakiwa kuandika...Stori zitaanzia hapo kwenye kijumbe Sasa!
Nitakujibu..
Poa mpaji,zamu yako kupokea lini tukale mihogo coco?
Convo hapo tayari
Na mm ntakujibu mihogo siku nyngn... unaonaje twende tukale 🐷🐷🐷!!!


Ila mm na mtazamo tofaut kidogo🤔🤔mm naona tatizo sio hao "team niambie" mi naona shida ipo kwako!

Wakati tunaanza kutumia simu tulikua tunafowardiana sms zngn za mambo ya Imani zingine ngono na mengn baadae kufowadiana sms ikawa kama ushamba tukaacha

Tukawa tunachat tu sms 500+ Kwa siku...kunaweza kusiwe na lengo maalum na tukachat usiku kucha na enyw tukaacha

Ikawa kuwasiliana Kwa kujuliana hali kawaida lkn baada ya kila mtu kupigwa na maisha kivyake kubadili kampana utafutaji mgumu na aina ya utafutaji na venyewe tumeacha

Saiv tunawasiliana Kwa malengo maalum huna la kusema kafie kuzimu yaan mm nireply "mpaji mungu vp" helo" "hi"🤔🤔 Sasa inakuaje ww mpaka Leo upo kwenye error ya niambie?
 
Back
Top Bottom