Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Lile ninja aiseee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani jana nimelala mbavu zinauma
Mi napenda watu km wale, alafu mara nyingi hawana unafki wala kona kona..!!!
Jana kuna kitu kaongea, nikikumbuka nacheka balaa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka kwanza....

Kabla ya kujua ni nini....Nimeshajiongeza...

Madam Mada zake nazijuaga[emoji1]
 
Ungekua interested na huyo jamaa wala usingemuona msumbufu kilichopo ni kuwa hata salamu yake unaichukulia ni kero.
Binafsi nimeamua kuwa mkax huwa na sense haraka mtu akinichukulia kama vile sina maana au ni msumbufu hasa wanawake, nikikutext mara tatu nikaona negative response baada ya hapo huwa najiweka mbali hutaona meseji yangu tena.
 
Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu

Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani

Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea

You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi


Unaona isiwe kesi unamblock
🤣🤣🤣🙌🏿
 
Aiseee!! Nimecheka sana
Kuna style ya kufunga nonino kiunoni khaaa!!!
Nyie kwaresima nitapooza nicheke vya mwisho mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Mimi Madame B simtaki.....

Ana Uzi wake mmoja huo....Sichoki kuusoma kila ninapotaka kucheka..
 
Ungekua interested na huyo jamaa wala usingemuona msumbufu kilichopo ni kuwa hata salamu yake unaichukulia ni kero.
Binafsi nimeamua kuwa mkax huwa na sense haraka mtu akinichukulia kama vile sina maana au ni msumbufu hasa wanawake, nikikutext mara tatu nikaona negative response baada ya hapo huwa najiweka mbali hutaona meseji yangu tena.
Sawa sawa hapa umeongea kitu kizuri ..karibu Jackies upate thoda
 
Back
Top Bottom