SteveJr99
Senior Member
- May 13, 2019
- 137
- 291
na me ndio maana nkasema hapo No love....usikute huyo ni jamaa tu ambaye anataka mzigo au anakufukuzia coz unayependana nae lazima mjuane code za kuingiliana pasipo makasirikoHamna,Mtu ninayempenda hawezi kuniambia ujinga wa NIAMBIE