Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
🤣
Baby mbona hutuiti kwenye hizi mada
Nimecheka
Wale wa "Niambie" nishapata jibu lenu......
 
Akili ndogo inataka kuzungumzia mambo makubwa 🤣🤣🤣
Yaani hicho kitabu kikitengenezwa na mimi nitakinunua. Yaani wanaume wengi watakinunua. Tena kikiwa kimeandikwa na mwanamke ndio kitaaminika mno. Yaani kuna utajiri wa mabilioni ya hela umejificha kwenye kitabu cha kifundisha mtu jinsi ya kuchat na msichana 🤣
 
Watu wanaotext aina hizo za txt wengi hawana kazi za kufanya hasa muda wa mchana wapo wapo tu kwa Shemeji.

Mtu aliyebusy na mitikas ya mjini hapa hana huo muda wa kuuliza umekula? Umekunya? Unafanya nini?.

Mie mwenyew napenda huo utaratib ukinichek asubuh tukutane saa nne muda wa kulala, unakula gd9t kavu kesho asubuh unasalimiwa kama bado upo hai unapumua.. maisha yanasonga.
Mimi ni mvivu wa kusoma sms hapa nilipo nina sms 99+sijazifungua ,ukishindwa kupiga simu ni bora ukatulia tuu
 
Back
Top Bottom