Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kila kituNa mifugo yao inaendeleaje.?? 😂😂😂
Nondo na misumari, na vifaa vyote vya ujenzi..!!Yaani kujibu text hadi muamala, unauza nin kwani ?
🤣Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
HahahahahaHizo skills Hizo ndio muwafundishe wenzenu Sasa...
Yaani hicho kitabu kikitengenezwa na mimi nitakinunua. Yaani wanaume wengi watakinunua. Tena kikiwa kimeandikwa na mwanamke ndio kitaaminika mno. Yaani kuna utajiri wa mabilioni ya hela umejificha kwenye kitabu cha kifundisha mtu jinsi ya kuchat na msichana 🤣Akili ndogo inataka kuzungumzia mambo makubwa 🤣🤣🤣
Wanaita "Attention"Wenyewe ndo wanaita kucare... Ni huo naitaga usumbufu
🤣🤣🤣🤣🙌Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu
Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani
Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea
You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi
Unaona isiwe kesi unamblock
Kwakweli mimi mtu akinifatuta na hana cha kuzungumza naona usumbufu... Kama amepiga simu na hana cha kuongea ajiandae tu kwa mashindano ya kupumuliana na kuhema😌😌Usumbufu Tena?
Nitakua naomba hela🤣🤣🤣🤣🤣Utaweza?wewe akisema tu niambie straight we mwambie tu anachotaka kusikia...
Mimi ni mvivu wa kusoma sms hapa nilipo nina sms 99+sijazifungua ,ukishindwa kupiga simu ni bora ukatulia tuuWatu wanaotext aina hizo za txt wengi hawana kazi za kufanya hasa muda wa mchana wapo wapo tu kwa Shemeji.
Mtu aliyebusy na mitikas ya mjini hapa hana huo muda wa kuuliza umekula? Umekunya? Unafanya nini?.
Mie mwenyew napenda huo utaratib ukinichek asubuh tukutane saa nne muda wa kulala, unakula gd9t kavu kesho asubuh unasalimiwa kama bado upo hai unapumua.. maisha yanasonga.
Eee ndiyo 😂😂😂Akaanze ujenzi au vipi?
Ila kuna watu ndo wanapenda hivyoWanaita "Attention"