Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Uongo ๐๐๐Akianza kuuliza ulisema nikutumie shingapi hapo labda๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo ๐๐๐Akianza kuuliza ulisema nikutumie shingapi hapo labda๐๐๐
Mambo Joannah, upo poa lakini ? Hujambo ?๐Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""๐ฃ
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia โNiambieโ [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia โNiambieโ [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Mtuambie mko wapi ..shida nini wakati huo na kama una muda uje nilipoMnaongea vitu nje ya mada..... naongelea NIAMBIE!Huwa mnataka tuwaambie Nini?
wa miamala hawana haya mauzauza..๐คฃWe kwani watuma miamala nao wanasemaga NIAMBIE?hao kazi yetu ni sisi kusema "BABY NIKWAMBIE KITU?๐คฃ๐คฃ
Yani me sipendi mtu wa kunitext kila mda, sijui umekula, unafanya nini, uko na nani khaa... Me nitakupigia mara moja asubuhi na usiku kabla ya kulala na kama kuna dharura. Siku nyingine naassume tu umeamka salama napita hivi kimyakimyaInategemea.. ukikutana na keyboard juggler kama mimi utakuw unamiss text zangu.. mie mvivu pia wa kuongea na simu, nyie wanawake ndio mnapenda kuongea hata masaa manne mpk skio linauma.
Ila wanaume mbususu zitawatoa roho ๐คฃ๐คฃ๐คฃMie kama unaileta ilipo mbn muamala unapata vzr tu
Hao wanao kwambia uwambie ni wavulana au wanaume??Mnaongea vitu nje ya mada..... naongelea NIAMBIE!Huwa mnataka tuwaambie Nini?
๐คฃ๐คฃ๐คฃHahahahaha..sasa huyu kwa mm hanifai ...nitoe kibunda ..halafu ubane mbususu...si bora nikateue mrembo kidimbwi tu cash and carry
Mwanamke haboreki kwa mtu anaempenda, hao ni wale ma simp wanaojisogeza ikiwa wewe huwataki ila kuna yule unaemuelewa hata hyo mambo hakutumii na huborekiZinaboa, boresheni skilz za mawasiliano
Hapo lazima nitiririke, nitauliza hadi ukoo wao mzima wanaendeleaje๐๐๐Uongo ๐๐๐