Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""๐Ÿ˜ฃ
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Mambo Joannah, upo poa lakini ? Hujambo ?๐Ÿ˜
 
Inategemea.. ukikutana na keyboard juggler kama mimi utakuw unamiss text zangu.. mie mvivu pia wa kuongea na simu, nyie wanawake ndio mnapenda kuongea hata masaa manne mpk skio linauma.
Yani me sipendi mtu wa kunitext kila mda, sijui umekula, unafanya nini, uko na nani khaa... Me nitakupigia mara moja asubuhi na usiku kabla ya kulala na kama kuna dharura. Siku nyingine naassume tu umeamka salama napita hivi kimyakimya
 
Back
Top Bottom