Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂Hao wanakutumia meseji za hivyo ni madomo zege na hawana pesa.
Dawa yao waombe pesa wakose pozi na kuanza kukuna pumbu zao.
Sisi wahenga huwa tunaenda kwenye point straight away.
Ha haaa Depal hii ni Gani?Umenikumbukusha mademu wa Arusha, huwezi hata kuchat nae atakukata stimu tu
Mtu unamuanza
You: mambo vipi salma
Yeye: mzuka Arif nigani
Dah unaona namna Gani hapa ila unajikaza unaendelea
You: salma nimekumis ujue
Yeye: acha basi kunifunga mota jombi
Unaona isiwe kesi unamblock
Hahahahaha ila hamna kitu kizuri kama kunyoosha maelezo.. kuwa kuna kimzigo hapa tukae sehemu tu enjoy ki kubwa..akielewa ameelewa😂😂😂😂😂Kha na itabidi dada wa mkoani atupe uthibitisho
Eeeeh kaka wewe una akili sana,,,hii ndio inafaa...akisema niambie tu.unampa invoice yake😁Hao wanakutumia meseji za hivyo ni madomo zege na hawana pesa.
Dawa yao waombe pesa wakose pozi na kuanza kukuna pumbu zao.
Sisi wahenga huwa tunaenda kwenye point straight away.
Sawa sawa ila sasa awe muwazi kuwa usinisumbue weka mzigo tukutane sehemu simpo ..visiwe virefu kma vikao vya harusiHahaa,,,muamala ni therapy
Yes na yeye anasema ombi lake..mnakaa kama kamati mnamalizanaEeeeh kaka wewe una akili sana,,,hii ndio inafaa...akisema niambie tu.unampa invoice yake😁
Ww ndo unaonekana msumbufu 😂😂We kwani watuma miamala nao wanasemaga NIAMBIE?hao kazi yetu ni sisi kusema "BABY NIKWAMBIE KITU?🤣🤣
Ukiona anahangaika labda unampa wkt mgumu anakosa angle ya kusema 🤣🤣🤣Kuna wenzenu wanahangaika sana...kwani kwenye Vikao vyenu hamzungumzi haya masuala?
Sasa bila muamala nipoteze nguvu ya kujibu msg ili nigundue nini?? 😂Hahahahahaha...muamala huwa ni kila kitu kwa wadada
Badilisha cycle yako, inaonekana huwa namba unaombwa na wanaume wajinga wajinga tu.Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
nambie ndio mwisho wa akili yakeKwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Hahahahaha na mm napendaga mtu muwazi. MnamalizanaSasa bila muamala nipoteze nguvu ya kujibu msg ili nigundue nini?? 😂
NiambieNaview tu halafu natulia kimya, hua sina cha kujibu
Mm ni mstaafu nitakosaje akili aisee!!?Eeeeh kaka wewe una akili sana,,,hii ndio inafaa...akisema niambie tu.unampa invoice yake😁