Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioKumbe ndio mnamaanisha hivyo?
Yes ...simple kabisaAfungue mapaja ili nawe ufungue waleti au siyo😅😅😅
Ya kuvuliana shida na raha...sasa hapa tuko ktk mapenzi ya raha tupuHivi mapenzi ya kistaarabu ndio kuambiana NIAMBIE?
Joannah upo poa lakini?Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Inategemea.. ukikutana na keyboard juggler kama mimi utakuw unamiss text zangu.. mie mvivu pia wa kuongea na simu, nyie wanawake ndio mnapenda kuongea hata masaa manne mpk skio linauma.nadhani uko kama mimi mkuu.. tatizo mimi hadi kwa mpenzi wangu naona uzito sometimes
Mkuu suala sio pesa ila kitendo cha kuomba pesa ndo kinatufanya kutoenjoy huduma zao, ni kama umenunua malaya.Usiwasanue mkuu, hawa huwa tunajichapia hata kwa buku tano.
Sikio la kufa halisikii dawa, atarudia tu.Hamna,niambie....NAOMBA HELA....harudiii tenaaaaaa
Kwa bahati mbaya kabisa wengi wanapenda utoe kibunda huku wao wakiendelea kusumbua kwenye swala la kutoa mbususuYes ...simple kabisa
Hahahahaha..sasa huyu kwa mm hanifai ...nitoe kibunda ..halafu ubane mbususu...si bora nikateue mrembo kidimbwi tu cash and carryKwa bahati mbaya kabisa wengi wanapenda utoe kibunda huku wao wakiendelea kusumbua kwenye swala la kutoa mbususu
Kuna utofauti wa mwanaume na mvulana,sina shaka kabisa wewe utakuwa unakuta na wavulanaMsipoteze lengo la Uzi....Lengo ni ninyi mboreshe communication skills