Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahaha...Hamna lolote ni Poor communication skills....
Akianza kuuliza ulisema nikutumie shingapi hapo labda😃😃😆Ukitumiwa pesa jirani uta view afu utatulia??
Sema ukweli? 😜
Hahahahaha....oooh mie unanichukul8aje...ooh mie sio nani .....jamani we unataka muamala maneno mengi ya nn ...toa nitoeHa haaaaa una mambo wewe
Watoto wa uzeeni wanakuwaga wamezubaa tu,,labda nije huko PM tuyajenge namna ya kwenda zetu Mauritius kuzichakata Hizo pesaMm ni mstaafu nitakosaje akili aisee!!?
Hata ukipenda upate mtoto mwenye akili zangu karibu PM ule mafao na pensheni za kila mwezi.
Usiwasanue mkuu, hawa huwa tunajichapia hata kwa buku tano.I hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.
nadhani uko kama mimi mkuu.. tatizo mimi hadi kwa mpenzi wangu naona uzito sometimesMie kuchat na Mwanamke ambae si mke wangu huwa napata uzito sana.. mpaka natext bas kuna sababu ya msingi maana siamini kama kuna story kati ya KE na ME ambao hawana connection ya mapenzi. Sana sana mtaongea umbea tu.
Yote ni mema.Watoto wa uzeeni wanakuwaga wamezubaa tu,,labda nije huko PM tuyajenge namna ya kwenda zetu Mauritius kuzichakata Hizo pesa
Hahahahahaha..Usiwasanue mkuu, hawa huwa tunajichapia hata kwa buku tano.
PeriodI hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.
Pwagu siku zote rafiki yakeBadilisha cycle yako, inaonekana huwa namba unaombwa na wanaume wajinga wajinga tu.
Namna hiyo sio kupotezeana muda..!!Hahahahaha na mm napendaga mtu muwazi. Mnamalizana
Tatizo wengine ukiwaambia kuna kimzigo hapa njoo tukipunguze anaanza maneno mengi oooh mimi sio....oooh mimi sijui...
Hahahahahaha...mkuu ukisema uwe nae hawakuelewi...sasa we nenda wanavyotaka... Toa na wao Watoe..I hate cheap women in every three words two are connected with money.............wakati mapenzi sio pesa mapezi ya kununua hayana laadha.
Mie kama unaileta ilipo mbn muamala unapata vzr tuNamna hiyo sio kupotezeana muda..!!
Ila kwenye miamala ndo muwatumie sasa, sio na nyie muanze ooh! Subiri week ijayo..!!
Na ww utume pesa kwa wakati
Afungue mapaja ili nawe ufungue waleti au siyo😅😅😅Hahahahaha....oooh mie unanichukul8aje...ooh mie sio nani .....jamani we unataka muamala maneno mengi ya nn ...toa nitoe