Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?


Nipe namba ya huyo mwanaume aliyekutibua nyongo nimtumie huu msuto
 
Ndio hivyo usikae kinyonge kwa sababu ya upendo wako, mtu akikufanya extra we mtoe kabisa.
 
Mbona Kuna vi swali simple sana vya kuanza navyo?yaani wanaume hawajui ni rahisi sana kumpoteza mwanamke Kwa kutegemea yeye ndio akwambie....we mwambie,mwambie,mwambieeee tu especially siku za kwanza mwambie akikuzoea atakuambia
Ni kweli kabisa Ila swali la Niambie baada ya salamu 🤣🤣🤣
Limekaa kinafiki sana 🤣🤣

Ila wangapi vijana wa siku hizi wanaweza kuanzisha maongezi ikiwa wengi wao kutongoza tu wanaogopa baba zao tulitongoza mwanamke Hata miezi saba na Unaambulia kupigwa tarehe na kung'atwa na Mbu tu..

Mwisho wa siku baada ya mwaka ndo unakubaliwa tena unapigwa busu la mkono ila hulali kwa furaha unayopata
 
Niambie kaka 😜
Pesa zako nnazo ila kaka luku inakaribia kukata na huu mtaa una vibaka..!!
Wakiona giza hawachelewi kunivamia!!
Nitoe 30k tununue umeme, pesa zako ziwe kwenye usalama
Andika wosia mapema...
 
We nae ulikasirika Nini?kuongea kitu mwanamke ni dalili anakupenda sana.... mwanaume usiyempenda hata akipumua anakukera sembuse kuongea🙆
Sikukasirika matendo yake yalinifanya tu nijihisi sina umuhimu nikajiweka nafasi ya wasio na umuhimu na nikaacha kuwa msumbufu

Nilimkaushia ila naona bahati nzuri alikuja kubadilika akaanza yeye kunitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…