Keshauza shamba la mahindi.Madame nitake radhi,,Mtu Yuko Peramiho hiyo pesa inatoka wapi huko?asinichoshe,...π€£π€£
Hapo umekaa zako ndani unaangalia game na tyt yako nyeupe unanipiga kamba unalewa jua lote hiliNjoo tulewe rudisha mageti hayo πππ
Kabisa, unakuwa na mahusiano na mnazaa kabisa.Mbona padre πππ
Hivi madame unaweza kuwa na mahusiano na padre na mkazaa na watoto??
Nahisi JPM R.i.p alikua tofauti yule mzee maana alikua mkali mkali ππTena hao mashababy ndio yanakuwaga machumba sana Kwa wake zaoπ€£
Kataa hivyo hivyo π€£π€£π€£Hapo umekaa zako ndani unaangalia game na tyt yako nyeupe unanipiga kamba unalewa jua lote hili
Weee!! Huwezi kupata na laana??Kabisa, unakuwa na mahusiano na mnazaa kabisa.
Haina mbaya
Tafuta hela dogo π€£π€£π€£Leo umenisema katatizo kangu haka
Sema nikishajishtukia kwamba namboa mtu naacha
Sijui ndo nilivyo au ndo vile sinaga hela
Na katika maisha lazima kuna wakati utaangukia usipopendwa, yaani unajilazimisha mtu wala hashtuki.Nilicho jifunza unaweza kupendwa na wanawake 99 ila wew uka fall Kwa msumbufu mmoja..
Heka heka za ujana wengine wame kua ma heartless hata hawashitushwi na chochote
Boda sipandagi, Ngoja nidake papa fololoKataa hivyo hivyo π€£π€£π€£
Mwambie boda akulete kitambaa cheupe sinza, niko lounge huku
Tumemaliza salamu Sema shida sasa unaniambiaje nambieKwamba mtu akikusalimia yeye ndio aulize hali yako wewe sio shida zako? Engage kwenye salam, sio kila kitu anauliza mwenzako wewe ni mikato tu.
Wahi kabla sijahama kijiwe, mi sipendagi kunywa sehemu moja nakuwa silewi πππBoda sipandagi, Ngoja nidake papa fololo
Niambie unasikia njaa muamala usomeHivi Huwa mnataka tuwaambie Nini?maana tukiwaambie ya moyoni mnaanza kutusimanga
Hakunaga hio.Weee!! Huwezi kupata na laana??
Hao watoto si watapata mikosi??
Mkuu,Na katika maisha lazima kuna wakati utaangukia usipopendwa, yaani unajilazimisha mtu wala hashtuki.
Aaah wa hivyo nakata kona chap sana!!
Acha uongoKwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""[emoji21]
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..