Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Ha haaa Depal hii ni Gani?
 
We kwani watuma miamala nao wanasemaga NIAMBIE?hao kazi yetu ni sisi kusema "BABY NIKWAMBIE KITU?🤣🤣
Ww ndo unaonekana msumbufu 😂😂
Wanaume watume pesa afu wasubiri tuwape maelekezo kituo gani kinafata..!!!
Hizi mambo, vipi? Uko poa? Mishe zinasemaje? Utasema hizo mishe kakupa yy.!! Mxieeeeww
Tumeni pesa ndio maswali yaendelee ebooh!!
 
Badilisha cycle yako, inaonekana huwa namba unaombwa na wanaume wajinga wajinga tu.
 
nambie ndio mwisho wa akili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…