Hivi nyie msiokunywa pombe au aina yoyote ya kilevi starehe yenu ni ipi!?

Pombe ni nzuri aisee siwezi kuiacha hata siku moja, ila kwa ushauri ili kuiacha pombe fanya betting nina uhakika utaacha kabisa pombe maana hutapata muda pia jaribu kupenda mpira kama sio shabiki wa soka.
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Jitahidi kuwa mnywaji na sio mlevi

Wengine tukienda bar tunapendaga kuwaona watu wanavyoyumbayumba hafu moyoni unajisema na kuweka nadhiri, hii kitu isinitokee.

Jipangie pombe ya nishai, mfano bia moja au mbili na maji ya makubwa, hapo utainjoi.

Kingine kama una mke, mfanye starehe yako namba moja, yani jitahidi asiwe adui yako, japo hapa kuna ka ugumu kidogo. Ukifanikiwa hili utapamisi home na utakua unaimisi familia,
Pia yaweke mazingira ya nyumbani well equiped, mfano kama unapenda mziki jitahidi nyumbani unaomziki wa maana kiasi kwamba hata ukiwa bar hakuna mazingira yoyote yakuweza kukushawishi kukaa pale

Acha kulewa kwa sababu yoyote ile, yaani kama sehemu ya kutatua matatizo tena siku ukiwa na matatizo usinywe kabisaa,
Kunywa kama burydani na kwa kiwango maalumu.

Jitahidi kuyasoma yale maandishi ya kwenye vilevi
Mfano, kunywa pombe kupitiliza ni hatari kwa afya yako, au uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako

Epuka kuwa na rafiki/mpenzi ambaye ahadi zenu mnakutana baa
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Starehe yetu ni mnapokuwa mnapiga maji sisi tuko na wake zenu tunafanya yetu!
 
Hivi kunywa pombe ni starehe!!! Nistarehe gani unapata unapokuwa umelewa.Pombe sio satarehe bali ni karaha .pombe inapunguza spidi ya maendeleo katika familia zenye watu walevi.
 
Starehe mbona ni nyingi tu,

Movies, exercises, sex (with yo partner)
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Uache starehe zote ni bora ukwufe tu
 
Starehe Yesu kaondoa kiu zote za pombe ,nk ni maamuzi tu na kuipata neema
 
Pombe inazeesha,mbali na hangover ambayo humfanya mlevi kuchoka na kupoteza hamu ya kula,matokeo yake ni kushindia ndimu na pili pili
 
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkuuu yaani kutumia mavitu yenye athar katika mwili wako ndio starehe ? Hizo sio starehe ujichosha tuu afadhal uachane nayo tuu, mkuu njoo tunywe juice ya mapapai bana ni nzuri kwa wiki natumia mara tatu huwa najisikia muruaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…