Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Habari la jioni dada zangu wapendwa.
Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu.
Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au Yanga.
Halafu hayo yote sijawahi ona masaki wala ostabay utakuta ni huku kwetu Buguruni, Mbagala na Buza.
NB; Vijana na wafanyabiashara wa buguruni nimefungua BUGURUNI BUSINESS POINT chini ya kampuni yangu pendwa ya SHALOOM AFRICA ENTERPRISES ipo hapa bugurunì sheli na hizi ndio huduma zetu
Ahsante
Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu.
Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au Yanga.
Halafu hayo yote sijawahi ona masaki wala ostabay utakuta ni huku kwetu Buguruni, Mbagala na Buza.
NB; Vijana na wafanyabiashara wa buguruni nimefungua BUGURUNI BUSINESS POINT chini ya kampuni yangu pendwa ya SHALOOM AFRICA ENTERPRISES ipo hapa bugurunì sheli na hizi ndio huduma zetu
Ahsante