Hivi nyie wanawake, hakunaga option nyingine zaidi ya madera

Hivi nyie wanawake, hakunaga option nyingine zaidi ya madera

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Habari la jioni dada zangu wapendwa.

Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu.

Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au Yanga.

Halafu hayo yote sijawahi ona masaki wala ostabay utakuta ni huku kwetu Buguruni, Mbagala na Buza.

NB; Vijana na wafanyabiashara wa buguruni nimefungua BUGURUNI BUSINESS POINT chini ya kampuni yangu pendwa ya SHALOOM AFRICA ENTERPRISES ipo hapa bugurunì sheli na hizi ndio huduma zetu

Ahsante
 

Attachments

  • IMG-20241106-WA0008.jpg
    IMG-20241106-WA0008.jpg
    130.3 KB · Views: 5
Habari la jioni dada zangu wapendwa.

Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu.

Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au Yanga.

Halafu hayo yote sijawahi ona masaki wala ostabay utakuta ni huku kwetu Buguruni, Mbagala na Buza.

NB; Vijana na wafanyabiashara wa buguruni nimefungua BUGURUNI BUSINESS POINT chini ya kampuni yangu pendwa ya SHALOOM AFRICA ENTERPRISES ipo hapa bugurunì sheli na hizi ndio huduma zetu

Ahsante
Wanaangalia yanga kwanza wanakuja
 
Back
Top Bottom