Ushahidi upo ulibakwa ww ama na huo Ushahidi umeshapelekwa wapi kuudhibitishaSawa ila kama ushahidi upo wanapima nini
"Salma wangu" ndio chanzoMagufuli aliwasamehe Wabakaji Babu Seya na wanaye ambao walishindwa kesi kwenye mahakama zote mpaka court of appeal.
Na wachagga mmezidi kuwanyenyekea hao Mapadri (mopya)! Siku moja niliwananga ile mbaya katika upadrisho wa kijana wetu. Wakachukia sana. Niliwaeleza kuwa upadre ni sawa na kazi nyingine yoyote kama ualimu , udaktari hata umesenja. Hivyo wasijione ni tofauti katika jamii. Huwezi amini walichukia sana nami nikafurahi kuwa imewaingiaUwakili ni kazi ya ajabu sana kwakweli, yaani unaanzaje kumtetea mtu katili kama huyo Padri, anaeweza kubaka watoto wadogo?
Mimi ni Mkatoliki kabisa ila naomba sana sheria isipindishwe kwa huyu mtu, apewe adhabu stahiki iwe fundisho kwa wote wanaonyanyasa watoto kihisia kwa sababu ya mwamvuli wa dini.
Leo mahakamani amejificha mpaka pua huiioni kama angekua hajatenda hivyo kwanini ajifiche? Wapo wengi aina yake huko makanisani wenye mapepo kama yake, wanaowaka tamaa kwa watoto ipo siku yao.
Yaani natamani hata mahakama wamtoe kwa wazazi na wananchi wa huko Moshi huyo mtu wamponde mawe. Kuna mtu amesoma naye Seminary anashangaa kwanini hata alifikia level ya upadri wakati tabia yake ya uchafu alianza zamani.
Wakili acha kutetea upumbavu wakati ushahidi upo, maana mtoto au watoto hawawezi kudanganya na tena kwa mtu waliyeaminishwa ni mtu wa Mungu mjue mpaka wamesema wamenyanyaswa haswa.
Huwezi kulazimisha utamaduni wa watu wengine ufuatwe na watu wenye utamaduni Fulani.Na wachagga mmezidi kuwanyenyekea hao Mapadri (mopya)! Siku moja niliwananga ile mbaya katika upadrisho wa kijana wetu. Wakachukia sana. Niliwaeleza kuwa upadre ni sawa na kazi nyingine yoyote kama ualimu , udaktari hata umesenja. Hivyo wasijione ni tofauti katika jamii. Huwezi amini walichukia sana nami nikafurahi kuwa imewaingia
Kesi yake ni ngumu kwa wakili mwenye conscious. Mtoto ameharibiwa tayari unamtetea nini. Yani natamani watu wa hivyo wasingekua na mawakili ikidhitishwa kwamba ni kweli vipimo na ushahidi ulidhabiti wapewe kipondo.Hujawahi kuona mtu anabambikiwa mashitaka?
Pasipo uwepo wa mawakili, je hawa watu wenye haki na wenye kubambikiwa kesi watapataje haki?
Just to inform you, waliopo magereza sio wote wenye hatia, wapo ambao wapo huko kwa sababu walikosa utetezi sahihi...
Kwanini nijiabishe nimeuliza swali kama wengine ambavyo wangeuliza. Mimi nashangaa wakili anaemtetea anapataje guts .Sema ndo sheria ipo hivyo ila nchi nyingine anapigwa shabaHili swala Liko juu ya uwezo wako wa kufikiri..achana nalo uta jiabisha tu hapa
Kesi yake ni ngumu kwa wakili mwenye conscious. Mtoto ameharibiwa tayari unamtetea nini. Yani natamani watu wa hivyo wasingekua na mawakili ikidhitishwa kwamba ni kweli vipimo na ushahidi ulidhabiti wapewe kipondo.
Hili hulioni?Huwezi kulazimisha utamaduni wa watu wengine ufuatwe na watu wenye utamaduni Fulani.
Wachaga wanaheshimu sana mapadre na walimu, acha ibaki hivyo.
Sheria ifate mkondo. Jambo la kihalifu lishughulikiwe kuhalifu. Ukatoliki hauna uhusiano na uhalifu!Uwakili ni kazi ya ajabu sana kwakweli, yaani unaanzaje kumtetea mtu katili kama huyo Padri, anaeweza kubaka watoto wadogo?
Mimi ni Mkatoliki kabisa ila naomba sana sheria isipindishwe kwa huyu mtu, apewe adhabu stahiki iwe fundisho kwa wote wanaonyanyasa watoto kihisia kwa sababu ya mwamvuli wa dini.
Leo mahakamani amejificha mpaka pua huiioni kama angekua hajatenda hivyo kwanini ajifiche? Wapo wengi aina yake huko makanisani wenye mapepo kama yake, wanaowaka tamaa kwa watoto ipo siku yao.
Yaani natamani hata mahakama wamtoe kwa wazazi na wananchi wa huko Moshi huyo mtu wamponde mawe. Kuna mtu amesoma naye Seminary anashangaa kwanini hata alifikia level ya upadri wakati tabia yake ya uchafu alianza zamani.
Wakili acha kutetea upumbavu wakati ushahidi upo, maana mtoto au watoto hawawezi kudanganya na tena kwa mtu waliyeaminishwa ni mtu wa Mungu mjue mpaka wamesema wamenyanyaswa haswa.
Mkianza kusema mna ushahidi gani ndipo hapo mnaaanza kuwapa nguvu watu wa namna hii. Ni bora mngeonyesha ukali iwe kweli au isiwe kweli kuwatisha hata waliokuwa na mpango wa kufanya hivi.Una ushahidi gani kua katenda hayo?
Hukuona yale ya mama na mwanae walimfunga baba kusingizia kabaka mwana?
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app