kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,340
- 12,055
Nafikiri kila mwenye utashi wa nafsi alishangaa kwa tukio lile, sijua wale maafande walimpa feedback gani kuhusiana na hali ya ugonjwa huu.
Pili kwa nini aliona watu wanakosea kwa kupuliza dawa mtaani akabaki kuwaangalia tu na kusubiri kuwananga mbele ya makamera (japo siwasupport kwa walilofanya)
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili kwa nini aliona watu wanakosea kwa kupuliza dawa mtaani akabaki kuwaangalia tu na kusubiri kuwananga mbele ya makamera (japo siwasupport kwa walilofanya)
Sent using Jamii Forums mobile app