Hivi Rais Samia anashikwa na "kigugumizi" gani kutoamuru Kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe ifutwe bila masharti yoyote?

Hivi Rais Samia anashikwa na "kigugumizi" gani kutoamuru Kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe ifutwe bila masharti yoyote?

Ni dhahiri sasa kwa kila anayeifuatilia Kesi ya ugaidi ya kina Mbowe, ameshabaini kuwa hiyo Kesi ni ya michongo na mashahidi wanaoletwa hapo mahakamani pia ni wa michongo!

Hivi unawatuhumu watu kwa ugaidi, halafu kila shahidi anayetoa ushahidi hapo mahakamani anaonekana kuwa amepangiwa ya kusema Ili awatie hatiani akina Mbowe?

Inafahamika wazi kuwa Ili Mahakama iwatie hatiani watuhumiwa, ni lazima upatikane ushahidi usio na shaka yoyote Ili watuhumiwa wahukumiwe kwenda jela.

Kwa mujibu wa ushahidi uliokwishatolewa hadi hivi sasa, hakuna ushahidi wowote wa kuwatia hatiani akina Mbowe, bali ni kuendelea kuwatesa kwa kuendelea kuwaweka mahabusu kina Mbowe kwa kipindi kirefu.

Hivi unawezaje kuwaita watu watuhumiwa wa ugaidi wa kulipua vituko vya mafuta, Ili Hali ushahidi uliotolewa hadi hivi sasa, hauonyeshi sehemu yoyote kuwa watuhumiwa hao walipanga njama za kulipua vituo hivyo vya mafuta?

Unawezaje kuwatuhumu watu kwa ugaidi, huku ukiieleza Mahakama, kuwa eti mtuhumiwa wa kwanza Mbowe, alifadhili ugaidi huo kwa kumtumia pesa mtuhumiwa mwingine shilingi elfu 80 tu?

Unawezaje kuwatuhumu watuhumiwa kuwa walipanga kumuua Sabaya, wakati mashahidi wenu wakidai kuwa hakuna sehemu yoyote Kati ya sms walizozi-hack, iliyomtaja Sabaya kutaka kuuawa?

This must be a joke of the year [emoji16]

Kwa wakuu wa Serikali, akiwemo Rais Samia na IGP Sirro kuutangazia Ulimwengu kuwa wamemkamata Mbowe, wakiwa na ushahidi usio na shaka yoyote kuwa Mbowe alipanga njama na watuhumiwa wenzake kufanya ugaidi wa kulipua vituo vya mafuta na kupanga magogo Barabarani kwa lengo la kutaka nchi yetu isitawalike

Tufike mahala ambapo Mahakama zetu zisimuone Rais Samia kama mungu- mtu na zitambue kuwa yeye ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, ambaye anaweza kukosea kwa matamshi yake na matendo yake na zihukumu kwa Haki kwa kuifuta Kesi hiyo ya ugaidi ya akina Mbowe, ambayo imeliletea aibu kubwa Sana Duniani kwa watawala wetu kuweza kuwabambikia Kesi kubwa ya ugaidi
Mpaka awe na HOFU ya MUNGU
 
Muhimili mmoja hauwezi kuingilia muhimili mwingine.

Au siku hizi mmeacha kuhubiri demokrasia?

Yaani unakurupuka na thread ya utetezi JF?mawakili wenu wameshawajulisha kuwa maji yamemfika shingoni sasa mnasaka public sympathy.
Kuna muhimili kiongozi, nao waweza kufanya lolote, popote na wakati wowote na haulazimiki kumsikiliza yeyote. Ndugu, yaonekana dhahiri kuwa haukumsikiliza vizuri Supika wenu ajae, Bi Betina.
 
Ni dhahiri sasa kwa kila anayeifuatilia Kesi ya ugaidi ya kina Mbowe, ameshabaini kuwa hiyo Kesi ni ya michongo na mashahidi wanaoletwa hapo mahakamani pia ni wa michongo!

Hivi unawatuhumu watu kwa ugaidi, halafu kila shahidi anayetoa ushahidi hapo mahakamani anaonekana kuwa amepangiwa ya kusema Ili awatie hatiani akina Mbowe?

Inafahamika wazi kuwa Ili Mahakama iwatie hatiani watuhumiwa, ni lazima upatikane ushahidi usio na shaka yoyote Ili watuhumiwa wahukumiwe kwenda jela.

Kwa mujibu wa ushahidi uliokwishatolewa hadi hivi sasa, hakuna ushahidi wowote wa kuwatia hatiani akina Mbowe, bali ni kuendelea kuwatesa kwa kuendelea kuwaweka mahabusu kina Mbowe kwa kipindi kirefu.

Hivi unawezaje kuwaita watu watuhumiwa wa ugaidi wa kulipua vituko vya mafuta, Ili Hali ushahidi uliotolewa hadi hivi sasa, hauonyeshi sehemu yoyote kuwa watuhumiwa hao walipanga njama za kulipua vituo hivyo vya mafuta?

Unawezaje kuwatuhumu watu kwa ugaidi, huku ukiieleza Mahakama, kuwa eti mtuhumiwa wa kwanza Mbowe, alifadhili ugaidi huo kwa kumtumia pesa mtuhumiwa mwingine shilingi elfu 80 tu?

Unawezaje kuwatuhumu watuhumiwa kuwa walipanga kumuua Sabaya, wakati mashahidi wenu wakidai kuwa hakuna sehemu yoyote Kati ya sms walizozi-hack, iliyomtaja Sabaya kutaka kuuawa?

This must be a joke of the year 😁

Kwa wakuu wa Serikali, akiwemo Rais Samia na IGP Sirro kuutangazia Ulimwengu kuwa wamemkamata Mbowe, wakiwa na ushahidi usio na shaka yoyote kuwa Mbowe alipanga njama na watuhumiwa wenzake kufanya ugaidi wa kulipua vituo vya mafuta na kupanga magogo Barabarani kwa lengo la kutaka nchi yetu isitawalike

Tufike mahala ambapo Mahakama zetu zisimuone Rais Samia kama mungu- mtu na zitambue kuwa yeye ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, ambaye anaweza kukosea kwa matamshi yake na matendo yake na zihukumu kwa Haki kwa kuifuta Kesi hiyo ya ugaidi ya akina Mbowe, ambayo imeliletea aibu kubwa Sana Duniani kwa watawala wetu kuweza kuwabambikia Kesi kubwa ya ugaidi
kesi ngumu ile. Mawakili wa Jamhuri muda si mrefu watanyosha mikono. Naona wamechoka kutumika
 
Ni dhahiri sasa kwa kila anayeifuatilia Kesi ya ugaidi ya kina Mbowe, ameshabaini kuwa hiyo Kesi ni ya michongo na mashahidi wanaoletwa hapo mahakamani pia ni wa michongo!

Hivi unawatuhumu watu kwa ugaidi, halafu kila shahidi anayetoa ushahidi hapo mahakamani anaonekana kuwa amepangiwa ya kusema Ili awatie hatiani akina Mbowe?

Inafahamika wazi kuwa Ili Mahakama iwatie hatiani watuhumiwa, ni lazima upatikane ushahidi usio na shaka yoyote Ili watuhumiwa wahukumiwe kwenda jela.

Kwa mujibu wa ushahidi uliokwishatolewa hadi hivi sasa, hakuna ushahidi wowote wa kuwatia hatiani akina Mbowe, bali ni kuendelea kuwatesa kwa kuendelea kuwaweka mahabusu kina Mbowe kwa kipindi kirefu.

Hivi unawezaje kuwaita watu watuhumiwa wa ugaidi wa kulipua vituko vya mafuta, Ili Hali ushahidi uliotolewa hadi hivi sasa, hauonyeshi sehemu yoyote kuwa watuhumiwa hao walipanga njama za kulipua vituo hivyo vya mafuta?

Unawezaje kuwatuhumu watu kwa ugaidi, huku ukiieleza Mahakama, kuwa eti mtuhumiwa wa kwanza Mbowe, alifadhili ugaidi huo kwa kumtumia pesa mtuhumiwa mwingine shilingi elfu 80 tu?

Unawezaje kuwatuhumu watuhumiwa kuwa walipanga kumuua Sabaya, wakati mashahidi wenu wakidai kuwa hakuna sehemu yoyote Kati ya sms walizozi-hack, iliyomtaja Sabaya kutaka kuuawa?

This must be a joke of the year 😁

Kwa wakuu wa Serikali, akiwemo Rais Samia na IGP Sirro kuutangazia Ulimwengu kuwa wamemkamata Mbowe, wakiwa na ushahidi usio na shaka yoyote kuwa Mbowe alipanga njama na watuhumiwa wenzake kufanya ugaidi wa kulipua vituo vya mafuta na kupanga magogo Barabarani kwa lengo la kutaka nchi yetu isitawalike

Tufike mahala ambapo Mahakama zetu zisimuone Rais Samia kama mungu- mtu na zitambue kuwa yeye ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, ambaye anaweza kukosea kwa matamshi yake na matendo yake na zihukumu kwa Haki kwa kuifuta Kesi hiyo ya ugaidi ya akina Mbowe, ambayo imeliletea aibu kubwa Sana Duniani kwa watawala wetu kuweza kuwabambikia Kesi kubwa ya ugaidi
Kesi iko mahakamani. Rais hawezi, na haruhusiwi kikatiba, kusema au kufanya lo lote kuhusiana na kesi iliyoko mahakamani. Akifanya hivyo atakuwa anaingilia mamlaka nyingine.Hata kama Rais angekosea na kusema kesi ifutwe, hakimu mhusika ana madaraka ya kuamuru kesi iendelee, tofauti na alivyosema Rais. Ni pale tu kesi inapomalizika na mtuhumiwa kupatikana na hatia na kuadhibiwa, hapo ndipo Katiba inampa Rais madaraka ya kupunguza au kufuta kabisa adhabu aliyopewa mhalifu. Lakini hata ikitokea hivyo, kumbukumbu zitabakia kwamba mtuhumiwa alipatikana na hatia na akapewa adhabu fulani, ili kama mhalifu atakuja kupatikana baadaye na hatia nyingine, hukumu itazingatia historia ya uhalifu wa mtu huyo. Kwa hiyo, kitakachokuwa kimefanyika ni kupunguza au kufuta kabisa adhabu na si kutamka kwamba Rais amemuona mtuhumiwa hana hatia.
 
kesi ngumu ile. Mawakili wa Jamhuri muda si mrefu watanyosha mikono. Naona wamechoka kutumika
Hilo ndilo linaloelekea kutokea hivi karibuni.🥺

Wewe mwenyewe si umeshuhudia Jaji akiwahimiza upande wa mashitaka kuwa ni lazima walete shahidi mwingine bila kukosa, alipowaona mashahidi wa upande wa Jamhuri wameanza kukacha kuja kutoa ushahidi?
 
Hilo ndilo linaloelekea kutokea hivi karibuni.🥺

Wewe mwenyewe si umeshuhudia Jaji akiwahimiza upande wa mashitaka kuwa ni lazima walete shahidi mwingine bila kukosa, alipowaona mashahidi wa upande wa Jamhuri wameanza kukacha kuja kutoa ushahidi?
Wameshachoka. Shahidi wa Jana Goodluck Minja aliona wanataka kumebesha zigo la vielelezo akawambia Weee! Hapana nilimkabidhi vyoye. Watu wakacheka🤣🤣
 
Wtz,ni kama hatujielewi,Rais ni mhimili mwingine na haupaswi kuingiliwa hiyo ndio maana ya utawala wa Sheria.Samia yupo sahihi.Alafu hiyo Katiba mpya tunayodai ni ya nn?
Mbona walivyotoka masheikh wa uamsho mlimshangilia Samia?
 
Acha upumbavu we fala,Rais aache shughuli zake za covid pesa aangaishane na washtakiwa.
We bwege nini
 
Ndotoni iko hivi
Samia😀PP hiyo kesi ya Freeman ifute mwanangu
DPP:Sawa mama kesho naenda mahakamani kuifuta.
DPP:IGP umepata concern ya mama kuifuta kesi ya kiongozi wa mpinzani
IGP:Hapana sijapata labda niongee na Msuya
IGP:Msuya vipi ulimshauri mama kufuta kesi ya ugaidi.
DG:Kuongozwa na wanawake nao ni tabu sana si tulishamwambia aiche hadi mwisho na yeye ameikubali proposal yetu tumweke Mbowe miaka miwili jela.
DG😀PP usifute hiyo kesi uchague kuifuta au upotee
DPP:MAMA hao jamaa wanasema tusifute kesi
Samia:Sawa mwanangu wewe wasikilize,wao ndo wataalam wenyewe.
Watu mmevurugwa sana[emoji23][emoji1787]hamuoni mbele kabisa
 
Avunje sheria mara ngapi?

Kwani alipoongea uongo huko BBC kuwa Mbowe aliikimbia nchi na kwenda Nairobi kujificha, alikuwa havunji sheria za nchi?
Kuvunja sheria haipaswi kuwa desturi na Mila za viongozi zinazopigiwa mfano
 
Acha iende hadi tumwisho tuone wanavyodhalikika
 
Kwanini unataka Samia avunje sheria kwa kuingilia mihimili mingine?
Singasinga ni zaidi ya magaidi 1000 lakini maagizo yakatoka kwa sa 100 kesi ifutwe na katolewa anakula pesa za masikini wa tz bure bila ya buguza
 
Ni dhahiri sasa kwa kila anayeifuatilia Kesi ya ugaidi ya kina Mbowe, ameshabaini kuwa hiyo Kesi ni ya michongo na mashahidi wanaoletwa hapo mahakamani pia ni wa michongo!

Hivi unawatuhumu watu kwa ugaidi, halafu kila shahidi anayetoa ushahidi hapo mahakamani anaonekana kuwa amepangiwa ya kusema Ili awatie hatiani akina Mbowe?

Inafahamika wazi kuwa Ili Mahakama iwatie hatiani watuhumiwa, ni lazima upatikane ushahidi usio na shaka yoyote Ili watuhumiwa wahukumiwe kwenda jela.

Kwa mujibu wa ushahidi uliokwishatolewa hadi hivi sasa, hakuna ushahidi wowote wa kuwatia hatiani akina Mbowe, bali ni kuendelea kuwatesa kwa kuendelea kuwaweka mahabusu kina Mbowe kwa kipindi kirefu.

Hivi unawezaje kuwaita watu watuhumiwa wa ugaidi wa kulipua vituko vya mafuta, Ili Hali ushahidi uliotolewa hadi hivi sasa, hauonyeshi sehemu yoyote kuwa watuhumiwa hao walipanga njama za kulipua vituo hivyo vya mafuta?

Unawezaje kuwatuhumu watu kwa ugaidi, huku ukiieleza Mahakama, kuwa eti mtuhumiwa wa kwanza Mbowe, alifadhili ugaidi huo kwa kumtumia pesa mtuhumiwa mwingine shilingi elfu 80 tu?

Unawezaje kuwatuhumu watuhumiwa kuwa walipanga kumuua Sabaya, wakati mashahidi wenu wakidai kuwa hakuna sehemu yoyote Kati ya sms walizozi-hack, iliyomtaja Sabaya kutaka kuuawa?

This must be a joke of the year 😁

Kwa wakuu wa Serikali, akiwemo Rais Samia na IGP Sirro kuutangazia Ulimwengu kuwa wamemkamata Mbowe, wakiwa na ushahidi usio na shaka yoyote kuwa Mbowe alipanga njama na watuhumiwa wenzake kufanya ugaidi wa kulipua vituo vya mafuta na kupanga magogo Barabarani kwa lengo la kutaka nchi yetu isitawalike

Tufike mahala ambapo Mahakama zetu zisimuone Rais Samia kama mungu- mtu na zitambue kuwa yeye ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, ambaye anaweza kukosea kwa matamshi yake na matendo yake na zihukumu kwa Haki kwa kuifuta Kesi hiyo ya ugaidi ya akina Mbowe, ambayo imeliletea aibu kubwa Sana Duniani kwa watawala wetu kuweza kuwabambikia Kesi kubwa ya ugaidi
Basi afute na kesi ya Sabaya,sababu karibu makosa yao yanafanana na la ugaidi ni kosa baya sana sawa na uhaini. Mama hakuna kufuta hadi kieleweke na Sabaya aje atoe ushaidi dhidi ya gaidi.
 
Muhimili mmoja hauwezi kuingilia muhimili mwingine.

Au siku hizi mmeacha kuhubiri demokrasia?

Yaani unakurupuka na thread ya utetezi JF?mawakili wenu wameshawajulisha kuwa maji yamemfika shingoni sasa mnasaka public sympathy.
Japo uliadimika Sana humu Kwa hasira za kurukwa kwenye teuzi, karibu Sana! Mbona unaongea kinyumenyume? Umewasikiliza mashahidi wa upande wa policcm ukiwa timamu? Huenda umemsikia jinsi wanavyojikanganya na kujikanyaga! Umeyasikia maswali ya wanasheria wa serikali a.k.a mawakili wa posho wanavyohoji Yale waliyolishana na mashahidi wenu wa kuchonga? Aibu tupu Kwa tasnia ya sheria kuwakilishwa na mawakili wa dizaini hiyo na ni aibu kubwa Kwa tasnia nzima ya sheria kuendelea kuwabamiza mawakili wa serikali kwenye nafasi wanazoshikilia! HivI CJ kaanza likizo ya kustaafu au? Kama hakemei na kumshauri dpp kukiondoa kesi hiyo inayowavua nguo za ndani basi mrejesheni alikotoka Kama wanadarasa hawwjamwachia viti na meza avifundishe!
Na Kwa kuwa wewe ni chawa pro max wa ccm waelimishe juu ya madhara makubwa wanayotengeza kwenye hiyo kesi! Naona mmeshtuka mnaanza kujipa uchifu wa Kila kabila!
 
Back
Top Bottom