Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Mtu hataki kufikiri pia kwamba kwani kikubwa mno hasa ni kipi hadi Magufuli alazimike kutaka kumuuwa Lissu tena kinoma noma kwa style ile?Ushahidi ukaja kuwa aliyemshambulia ni mbowe ama alijishambulia mwenyew ili kuteka attention vip mtajisikiaje??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kigogo2014 alifanikiwa kuwajaza chuki na propaganda za kitoto sana[emoji23][emoji23]
Ila ndio hivyo ukihoji maswali kama haya unaonekana unatetea uovu ndio maana nasema hisia zimewekwa mbele.