Leo mkuu inaenda miezi 19 tokea huyu mzee ameondoka, aliekua spika wakati huo kwa sasa hayupo tena, Kipili.mba hayupo, Si. rro hayupo, aliekua RPC Dom hayupo, Ma.konda hayupo!! Huo uchunguzi kwanini haufanyiki? Nani analindwa kwa sasa?
Mimi bado naamini mzee asingeweza kamwe ku order kifanyike kitu cha kipumbavu namna hiyo tena kwa njia ile.
Ila pia sikulaumu, walau wewe mtu akifuatilia nyuzi zako unaonekana hukupenda wala hukukubali chochote alichokua anafanya huyu mzee way before hata hajawa rais, lakini naendelea kukuomba usimtupie mawe walau kwa hili kama hauna uhakika.