Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

raraa reree huna baya kiongozi
 
Mi huwa nampenda sana mtu asiyechukia mtu, mpenda watu........raraa reree ni mmojawapo! Sioni ni nini haswa kinakukera mtoa mada!!
Mbona upogo negative, huko shureni urisomea ujinga.....mimi nimesema pale juu hili siyo kwa ubaya.
 
Kuna ID zipo kwa ajili ya kazi maalumu wanabadilishana tu kwa shift

Kuna jobless

Kuna wenye biashara mitandaoni za halali

Kuna watafuta wenzao wapatane
 
Wengine wapo kazini,denooj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…