Ishirini mbona kidogo Mimi nilipigwa ban ya siku 5 Ile narudi nikakuta notification 90,000 ya Like za bwana reree!!Kuna siku niliingia JF nikakuta 20 notifications, kuzifungua kumbe zote ni like za bwana raraa reree
Mkuu ungeweka .Mwenye maelezo alete mrejesho. Hiki kiumbe ni kusambaza upendo tu kila nyuzi nazopita ππππ
Wewe, Mumeo mtarajiwa Dr.Y2Z hataona wivu hapa kweli?Hahahaha rereee wangu baba wamekufungulia Uzi tena
YapTatizo nini?
Huyo anapenda kusoma tu. Na anajiwekea alama kuwa kisha kusoma.
nitamblock, anakera sana raraa rereekazi kweli kweli
anakera. I will BLOCK her and most probably ni mwanamke ...mwanamume huwezi kufaya hivi . Alternatively, my thinking, AU kuna kitu anatafiti kujua identity za watu by their phone number, labda anatest IT invention yake ku circumvent technology ya kuficha namba za watu iliyotumiwa na JF! Maxence Melo take note of this!Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana.
Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree
Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?