Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Umenote vizuri mkuu. Ukishakuwa na mind ya kimaskini hata vitu unavyowaza utakuwa unawaza kushindwa tu muda wote. Ndio mind ya mchiziMwanzisha thread nadhani amezaliwa kwenye ufukara wa akili na mali na bado operate kwenye ufukara wa akili na mali. (no offense). Hana clue kabisa na maisha mengine...
Sent using Jamii Forums mobile app