Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahah mkuu kwa hilo jibu lazima atafakari mara mbilimbiliHaya maisha bhana,unaweza kuta na yeye huko alipo anajiuliza mbona okoyoko kila siku ni masikini? Yaani tokea mwaka 1992 jamaa hatoi msaada wala nini lakini kila siku yeye huwa analia njaa tu ?
Ahahahahahhana Mengi nae anajiuliza okoyoko hatoi misaa miaka yote ni maskini haendelei hivi ana tatizo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
ilo swali kamuulize k lynn mkewe anaetembea na mkoba wa 60mHello guys,
Ameanza kutoa misaada ya mamilioni ya shillingi kila mwaka tangu miaka ya 1992 mpaka leo, na bado yuko vizuri kipesa, sasa najiuliza kwamfano kwa bahati mbaya siku imetokea amefilisika si itakuwa aibu sana kwake?
Hata kama kampuni zake zinaingiza mabilioni kwa mwaka, ujasiri anao aisee, kuonesha watu kuwa yeye ni tajiri, hlf kwa hizi biashara there is a risk na hofu ya kuja kufilisika baadae, its a nightmare.
Sikuwahi kumuomba wala kumweleza huyu boss shida zangu, ila siku nilimuhudumia tu kwenye sikukuu ya noel moja,alinipiga misimbazi ya kutosha tena kimya kimya nikapata ada ya mwanangu na hela yote ya kufungia mwaka na kuamkia.
Ile pesa hata madam rita hakuona.
TIP TU ,ILA KIHESHIMA ALINIWEKEA NDANI YA KITAMBAA BADALA YA KUACHA KWENYE KILE kipochi cha kulipia,nilipigwa misimbazi mingi sana sema imekunjwakunjwa,na mimi kumshukuru nikawahi mlangoni angalau nifungue mlango kkwake tu,pale mlangoni nikadondoshewa misimbazi ingine bulungutu.Mmmh reginald mengi alikupa sh ngapi?, ilikuwa ni tip au babukijana
Kumbuka mkono utoao ndio mkono upokeao...Hello guys,
Ameanza kutoa misaada ya mamilioni ya shillingi kila mwaka tangu miaka ya 1992 mpaka leo, na bado yuko vizuri kipesa, sasa najiuliza kwamfano kwa bahati mbaya siku imetokea amefilisika si itakuwa aibu sana kwake?
Hata kama kampuni zake zinaingiza mabilioni kwa mwaka, ujasiri anao aisee, kuonesha watu kuwa yeye ni tajiri, hlf kwa hizi biashara there is a risk na hofu ya kuja kufilisika baadae, its a nightmare.
Ashakum si matusi
Mkuu una mawazo ya kimasikini
Hayo Masharti anayo Mungu Peke yakeBaadhi ya masharti ya kuendelea kuwa nazo hizo pesa zake ni pamoja na kuwapa maskini na wahitaji.