sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kama unaishiaga kuyaona tu magari bora ukae kimya tu, Unajua mark x kwa wiki mafuta kiasi gani yanahitajikaInnocent enzi za ukiwa na gari ndio una hela sishapitwa na wakati
Kuwa na gari sio alama ya kuwa una mkwanja!!
Mark x???
Sawa Mkuu.Main point point yangu Kama anauwezo wa kununua mark x pia anauwezo wakujenga nyumba nzuri badala ya kununua gari la Bei mbaya nunua hata vits alafu hela zingine amishia kwenye ujenzi wa nyumba.Mzee wangu Hana uwezo hata wa kuwa na mark x lakini anaishi kwenye nyumba nzuri maisha ni kupangilia
Cc 2500 ndio kubwa? Unajua kwamba engine zimedesigniwa kutumia mafuta kidogo hata cc ikiwa kubwa? Ulaji wa mafuta kwenye gari sio kama wewe unavyochuka glass ya maji na kunywa yanavyoisha kwenye glass......Litre 1 unaweza ukatembelea km 10 hadi 12 kwa cc 2500 na pia kuna Hybrid umeme mwingi mafuta kidogo.Kama unaishiaga kuyaona tu magari bora ukae kimya tu, Unajua mark x kwa wiki mafuta kiasi gani yanahitajika
Naona umeyajulia magari facebook mkuu, hivi kwa akili yako unatembelea low gear hapa mjini kwenye foleni unafkiri utatumia lita moja kwa kilometa kumi??? Azima kwanza uje kuleta mrejesho sio una copy na ku pesti tu. Kwa hapa mbeya tu kuzurua mjini tena kistaarabu lita 7 zinakuhusu, nenda kwenye sheli ukaulizie crown inatumia petrol au diesel alafu uzidishie bei mara saba🤣🤣 Hii ni mbeya tu, sipati picha kwa dar.Cc 2500 ndio kubwa? Unajua kwamba engine zimedesigniwa kutumia mafuta kidogo hata cc ikiwa kubwa? Ulaji wa mafuta kwenye gari sio kama wewe unavyochuka glass ya maji na kunywa yanavyoisha kwenye glass......Litre 1 unaweza ukatembelea km 10 hadi 12 kwa cc 2500 na pia kuna Hybrid umeme mwingi mafuta kidogo.
Kwani watengenezaji wa magari wanavyosema gari inatumia mafuta let's say 1ltr per 10km wanapima ikiwa kwenye foleni?Naona umeyajulia magari facebook mkuu, hivi kwa akili yako unatembelea low gear hapa mjini kwenye foleni unafkiri utatumia lita moja kwa kilometa kumi??? Nunua kwanza lako ndio uje kuleta mrejesho sio una copy na ku pesti tu. Kwa hapa mbeya tu kuzurua mjini tena kistaarabu lita 7 zinakuhusu, nenda kwenye sheli ukaulizie crown inatumia petrol au diesel alafu uzidishie bei mara saba🤣🤣 Hii ni mbeya tu, sipati picha kwa dar
Wanapima kwa barabara zao huko ambako kuna barabara hadi 12 mambo ya foleni utakutia wapi, yani ni spidi mtindo moja na ni mwendo wa lami tu full tambarare, Sasa huku bongo kwanza foleni lazima utembelee low gear, barabara nyingine ukipita hakuna lami, kupunguza pungiza spidi kwenye matuta kibao, milima, mashimo, n.k.Kwani watengenezaji wa magari wanavyosema gari inatumia mafuta let's say 1ltr per 10km wanapima ikiwa kwenye foleni?
Kama unaweza kumiliki mark x unashindwa vipi kuwa na mjengo mkali hapa town
Harmonize kaondoka wasafi akiwa anamalizia kujenga ghorofa lake baada ya kuwa na nyumba mbili rich mavoko katika safari yake ya mziki hajawahi kumiliki mark x kamiliki akiwa wasafi ila sasa hiv kaliuza Kama hivi ni malipo kidogo watu Kama qchilla,Tid,chid Benz watasemaje?
Hata tigo akiombwa hatositaWewe ndo die hard fan sasa !!!...
kama kuna mtu ana connection ya wasafi ni kheri akupe maana hata ukifanya volunteering, utafanya kwa moyo wote asee [emoji4]
Hata tigo akiombwa hatosita
Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
Dogo wenzio wanakushangaa kwa kuwa hujui gharama za ujenzi. Mark X inauzwa milioni 15 na mabati ya Alaf ya nyumba ya vyumba vinne yale kama vigae ni milioni 25Main point point yangu Kama anauwezo wa kununua mark x pia anauwezo wakujenga nyumba nzuri badala ya kununua gari la Bei mbaya nunua hata vits alafu hela zingine amishia kwenye ujenzi wa nyumba.Mzee wangu Hana uwezo hata wa kuwa na mark x lakini anaishi kwenye nyumba nzuri maisha ni kupangilia
Body body bodyWajameni rich mavoko yuko wapi?
Simsomi siku nyingi.
mmmmh weeeeeDogo wenzio wanakushangaa kwa kuwa hujui gharama za ujenzi. Mark X inauzwa milioni 15 na mabati ya Alaf ya nyumba ya vyumba vinne yale kama vigae ni milioni 25
Sent using Jamii Forums mobile app
mmmmh weeeeeDogo wenzio wanakushangaa kwa kuwa hujui gharama za ujenzi. Mark X inauzwa milioni 15 na mabati ya Alaf ya nyumba ya vyumba vinne yale kama vigae ni milioni 25
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema hana kabisaa hapana anayo angeimbaje hizo nyimbo zote ila usipokuwa na kipaji sijui nimekwama katika kukushauriHapo kwenye Sauti kidogo tunapishana diamond ana Sauti nzuri Sana ya uimbaji we angalia akiimba nyimbo za taratibu vocal yake inavyokuwa ila kwenye ngoma za kubang uwezi kuona ubora wa Sauti wa msanii mfano mzuri wimbo Kama babalao,kidogo,yope remix
Al
Alafu wengi wao wanakwambia mavoco alikuwa mkubwa kabla ya kuingia WCB,alikuwa anahit sawa lakini hakuwa na ukubwa huo waliokua wanamuongezea,leo hii huko alipo ukiwauliza waliokua wanasema ananyonywa na WCB wako wapi huwaoni,na Kama alikuwa ananyonywa vp kwasasa si yupo nje ya WCB hali ikoje?,ambaye alitarget kutoka pale ni kondeboy tu tayari alikuwa mkubwa kwa kila kitu
Na wewe unaishi wapi mbona una sifu vya baba sifu vyako mkuu kuwa sina gari ila na mjengo mkali sanaMain point point yangu Kama anauwezo wa kununua mark x pia anauwezo wakujenga nyumba nzuri badala ya kununua gari la Bei mbaya nunua hata vits alafu hela zingine amishia kwenye ujenzi wa nyumba.Mzee wangu Hana uwezo hata wa kuwa na mark x lakini anaishi kwenye nyumba nzuri maisha ni kupangilia