Tayari kashampa jibu lake kwenye Post #57I'm waiting for reply from her[emoji3][emoji3][emoji119]
Wewe wa rangi tu hata ujitetee vipi, fumbo hufumbuwa mjinga.ππ€£ππ€£Unanikana?
Sasa foxy si anatamani kumla butterfly Ila hampati manake muda wote anafly
Ila sikati tamaa, ngoja nitafute kijora cha kijani nianze kupita pita korido za Lumumba.....ntaweletea mrejesho nikiwa kwenye vieteπ€£π€£π€£Ha haaa haaa,uhuni umeko cost
Sahihi, ila Mkiweza badirikeni ingawa itachukua mudaNi shideer
Ila wanafanya hivyo wanawake Wenye upeo mdogo mostly
Connection jamaniπ€£π€£π€£
Wamaanisha nn?Wewe wa rangi tu hata ujitetee vipi, fumbo hufumbuwa mjinga.
Imagine hiyo ajali ingemuumiza beyond repair sijui vyombo husika vingeandika nini!!Kweli Asili kwa sisi Wanaume haiangalii Wadhifa ama Kipato.
Ndiyo Maana Mfalme Daudi kwenye agano la Kale aliweza hata kumsababishia Kifo Mkuu wake wa Ulinzi ili amchukue Mke wake
Kiongozi una risk kutoroka Ikulu kwa kuendesha Mwenyewe hadi huko Kawe kisa kumfata Mchepuko.
Kwani angeamua kumtuma Mlinzi akamfate na kumficha sehemu kungekuwa na Shida.
Ulivyo mapepe sana kama kama nakuona kwenye corridor za Lumumba na hicho kijora,dakika 30 nyingi ushakula kichwa,tena usindikizwe na wifi Yako Lamomy yeye avae kijora Cha njanoIla sikati tamaa, ngoja nitafute kijora cha kijani nianze kupita pita korido za Lumumba.....ntaweletea mrejesho nikiwa kwenye vieteπ€£π€£π€£
Kuna kipindi Jamaa alikuwa anatembelea fimbo.Hadi akamvunja mguu! Hiyo ilikuwa baab kubwa.
hakuna asiyeweza kufungua code siku hizi mkuuHuu uzi hauna hata codes sijaupenda.
Tunawaumiza familia zao
Wasingekosa kitu cha kusema, raia wengi wa hii Nchi tumekuwa rahisi sana kuwa-brainwashedImagine hiyo ajali ingemuumiza beyond repair sijui vyombo husika vingeandika nini!!
π€£π€£π€£π€£π€£
NgumuSahihi, ila Mkiweza badirikeni ingawa itachukua muda
Kila anayejiona mjanja ana mjanja wake.Kanuni za kidunia ni shida tupu.Kuna kipindi Jamaa alikuwa anatembelea fimbo.
Kijiji kikambiwa mifupa ya goti inasagana
Noma sana!Kuna baadhi ya Taarifa zako hazipo sawa. Mfano Rita kuachana na Mlaki. Hawakuwahi kuachana ila walikuwa wametengana kwa muda.
Mzee Mlaki alinifundisha kitu kimoja, baada ya kumuuliza unajisikiaje na uvumi wa Ben kubanjuana na mama. Akasema, mdogo wangu, ukioa mchagga hayo ni mambo ya kawaida. Uzuri sasa hivi unaliona hiyo Land Cruiser VX ni la mama ila natembelea mimi. Kipi bora kung'ang'ania mke au kufaidi toka kwa mke. Huu ndiyo muongozo wangu siku zote
Absolutely ila huenda hii 50/50 ikaenda kupunguza gapNgumu
Wanawake vipanga na tunaojitambua ni wachache
The rest ndo hao degree za vy.uupi