Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Ulivyo mapepe sana kama kama nakuona kwenye corridor za Lumumba na hicho kijora,dakika 30 nyingi ushakula kichwa,tena usindikizwe na wifi Yako Lamomy yeye avae kijora Cha njano
🤣🤣🤣🤣🤣 Hatari na nusu, nimechoka kuukalia uchumi Mie.....we subiri mrejesho.

Ila Lamomy siongozani nae atanichomesha Kwa bro🤣🤣🤣
 
Wasingekosa kitu cha kusema, raia wengi wa hii Nchi tumekuwa rahisi sana kuwa-brainwashed

Yaani Viongozi hata hawapati Shida kututawala maana rates ya Ujinga nadhani imefikia asilimia 68 kwa 32 kwa waliosoma
Mzee BM alikuwa na matukio mengi sana, Kibaha, Masaki kote slikuwa na michuchu na alikuwa anaendesha gari mwenyewe.
Kwa Masaki...kuna ka kimada kaliiuwa jirani na nilikoanzia kazi yangu ya kwanza...mzee alikuwa hakauki
 
Kuna taasisi fulani ya serikali Morogoro imepiga marufuku pkpk kuingia kwenye compound yake kisa Katibu Mkuu wake alichukizwa na honi ya pikipiki
Huyo Katibu alikuwa Mjamzito nini?

Maana mimba huwatesa Wanawake wengi sana.

Unaweza kuta hiyo mimba wakati inaingia alibebwa na Pikipiki kumpeleka eneo la Machinjio 🤗🏃🏃🏃
 
Mkuu Weath na Power Vinaweza kutu classify binadamu lakini kuna mahitaji mengi tuna meet kwenye Ground Moja haswa sisi Men tuna Sehemu lazima tukutane tu kwa ground
 
Huyo mama Che ni mshamba tu kama alimind kuwekwa ofisini for 10 minutes, Kuna watu ni Humble sana akiwemo Mzee Pinda very decent
 
Huyo Katibu alikuwa Mjamzito nini?

Maana mimba huwatesa Wanawake wengi sana.

Unaweza kuta hiyo mimba wakati inaingia alibebwa na Pikipiki kumpeleka eneo la Machinjio 🤗🏃🏃🏃
Labda, ila imeshangaza wengi kwasababu wizara yake ina wajibu wa kuwaelimisha maelfu ya watanzania, inashangaza sijui alishindwaje kumuelimisha huyo mmoja kama honi haikupulizwa ipasavyo
 
Mzee BM alikuwa na matukio mengi sana, Kibaha, Masaki kote slikuwa na michuchu na alikuwa anaendesha gari mwenyewe.
Kwa Masaki...kuna ka kimada kaliiuwa jirani na nilikoanzia kazi yangu ya kwanza...mzee alikuwa hakauki
Inaonekana suala la Sisi Wanaume kuridhika na Mwanamke mmoja limekuwa changamoto sana.

Ni vile wengine we keep our Profile low, zikija kuwekwa wazi itakuwa balaa 😅

Hata Mwendazake naye alikuwa mpenzi wa hayo Mambo, ukikutana na ile cycle ya Ikulu huwa wanasema.

Huyo Msoga naye ilikuwa ni vile vile

Wanaume tukakanyage mafuta tu huenda ikasaidia, maana hadi kuna Wazee wa miaka 70+ lakini bado wanahangaika na pussy cat tu 😆
 
Huyo Mzee Mlaki peponi moja Kwa moja, yeye na Yule aliyekuwa balozi wetu China waingie peponi bila hesabu....na wanawake wote tuitikie Amin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…