Hivi sasa hivi bado kuna wanaume wakiombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza wanatoa?

Hivi sasa hivi bado kuna wanaume wakiombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza wanatoa?

Sasa kama mtu umekutana nae jana leo anakwambia nina njaa sina mafuta unajiuliza huyu before alikuwa anaishije
 
Saa ingine shida sio umaskini, naweza kuwa hata na tsh million 500 isio na kazi, na utayari wa kusaidia, ila mdada akiniomba Elf 1 ya vocha na nimemtongoza jana, naweza kumnyima

Kwa wadada wa sahivi, ukiwa na attitude ulio nayo wewe, utatumika sana, we unaona unasaidia, mwenzio anakuona boya Vishu Mtata
Em kwanza mbona mnataka kuweka maisha ni magumu sana, kucomplicate maisha kwa kiwango cha sgr..

Kwahiyo usipompa ndio utakua mjanja? Au ukimla bila kumpa alichokuomba utakua mjanja??
Binafsi siamini hilo, kama sina simpi, kama sina nia ya kumpa simpi, shida yake haijaniingia akilini simpi.

Ila sio eti kumpa pesa ni mpaka aje geto, kwang mm haiko ivo.
Ambao mnapata utelezi kwa bahati nasibu ndo huwa mna desturi hizo, yaani buku mpaka aje geto.
 
Just imagine
Wakati wewe unahonga ili akupende au upewe mbususu na anakupiga chenga

Kuna kidume mwingine anazagamua bure plus anapewa hizo hela unazotoa wewe

Wanaume mnaotoa hela ili mpendwe acheni "Simping"
Haha acha simps waendelee kuwepo ili madem wapendeze kitaa halafu wajuba tuwagonge bure.
Acha simps watoe hela sisi tutoe dick
Division of labor
 
Dah.. Sikumbuki lini nimeambiwa njoo ghetto. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka sana
Ndio dawa ya hawa mabinti wa sahivi, yani ungekuwa mwanaume ungenielewa, unaombwa hela hlf mtu ghetto haji, unajiuliza huyu anaeniomba hela hana nyege au.

Saa ingine kidume unajiuliza, Hata kama mdada kaniona nina sura mbaya, je mm ni mbaya kihivyo, kiasi cha kwamba hata kunipa papuchi yake nimle mara moja tu hawezi, mbona mwonekano wangu uko decent..maana sie wanaume wengi mpaka umkatae mwanamke anaetutaka kimapenzi, labda huyo mwanamke awe mbaya kupitiliza, nashangaa baadhi ya wanawake wanakataa wanaume ambao kimuonekano ni good looking.. Demi
 
Ndio dawa ya hawa mabinti wa sahivi, yani ungekuwa mwanaume ungenielewa, unaombwa hela hlf mtu ghetto haji, unajiuliza huyu anaeniomba hela hana nyege au.

Saa ingine kidume unajiuliza, Hata kama mdada kaniona nina sura mbaya, je mm ni mbaya kihivyo, kiasi cha kwamba hata kunipa papuchi yake nimle mara moja tu hawezi, mbona mwonekano wangu uko decent..maana sie wanaume wengi mpaka umkatae mwanamke anaetutaka kimapenzi, labda huyo mwanamke awe mbaya kupitiliza, nashangaa baadhi ya wanawake wanakataa wanaume ambao kimuonekano ni good looking.. Demi
Ningekuwa mwanaume ningekuwa natoa pesa kwa mwanamke ninae mpenda bila kuombwa.
Ghetto atakuja mwenyewe bila kulazimishwa.
 
Ningekuwa mwanaume ningekuwa natoa pesa kwa mwanamke ninae mpenda bila kuombwa.
Ghetto atakuja mwenyewe bila kulazimishwa.
Sio rahisi kihivo, pesa ungetoa na binti ghetto haji, na la kumfanya huna..au ukitoa hela kesho unaombwa tena, ukitoa kesho kutwa unaombwa tena, siku ukisema huna mahusiano yanakufa..una-chat naye conversation yake yooote atakuwa anakuambia matatizo yake ya kipesa tu Demi
 
Sio rahisi kihivo, pesa ungetoa na binti ghetto haji, na la kumfanya huna..au ukitoa hela kesho unaombwa tena, ukitoa kesho kutwa unaombwa tena, siku ukisema huna mahusiano yanakufa..una-chat naye conversation yake yooote atakuwa anakuambia matatizo yake ya kipesa tu Demi
Ukiona mwanamke anakuomba sana pesa ujue hakupendi. Nia yake ni kufanya uachane nae.
 
Tafuta pesa mpe mwanamke acha kulia lia hapa sasa wewe pesa za nini kama si kula na mwanamke![emoji23]
 
Back
Top Bottom