Hivi sasa hivi bado kuna wanaume wakiombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza wanatoa?

Hivi sasa hivi bado kuna wanaume wakiombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza wanatoa?

Hivi unataka mdada ahudumiwe na nani na wewe kazi yako iwe ukiona amependeza unamsimamisha unatomba bure unaondoka
acha kulalamika
hudumia kitu chako
mimi demu wangu ana enjoy. niko tayari niibe yeye asikose
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kaibe tu Baba uniletee ha ha ha ha
 
Huombi mwenyewe anatuma. Nafikiri mtu mwenye hela au mapenzi ya dhati, hafikirii mara mbili kukutumia hela. Usisubiri uombwe mpe hela.
Hata uwe na pesa au ukwasi kiasi gani, usipoishi ndani ya bajeti utabakia kwenye standard life hapohapo. Mapenzi yapo tu na majukumu halisi ni ndani ya ndoa sio kutoa pesa kisa mnapendana [emoji23][emoji23][emoji23] huo utoto. Utanipenda leo, kesho utampenda mwingine. Kila kitu kinafanyika kwa malengo, starehe uzeeni, ujanani ni majukumu tena ndani ya ndoa ila sio kwenye mahusiano yasiyo na msingi kisa mapenzi. Mapenzi yanaishaga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unataka mdada ahudumiwe na nani na wewe kazi yako iwe ukiona amependeza unamsimamisha unatomba bure unaondoka
acha kulalamika
hudumia kitu chako
mimi demu wangu ana enjoy. niko tayari niibe yeye asikose
Hivi unataka mdada ahudumiwe na nani na wewe kazi yako iwe ukiona amependeza unamsimamisha unatomba bure unaondoka
acha kulalamika
hudumia kitu chako
mimi demu wangu ana enjoy. niko tayari niibe yeye asikose
Sio kwa mademu wakibongo utachakaa
 
Back
Top Bottom