Hivi Serikali inanufaika nini na wananchi wengi kujiandikisha na kupiga kura? Mbona hamasa ni kubwa mno?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Mimi ni mwananchi mshamba tu ni juzi juzi tu hapa ndio nimetoka shamba.

Gharama ni kubwa sana na nguvu ni kubwa sana SERIKALI INATUMIA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA NA KUPIGA KURA.

Serikali inazirudishaje hizi gharama baada ya juhudi hizi? Kuna faida kiasi gani serikali inanufaika na hii kampeni?

Nielewesheni tafadhali.
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 4
Ili kuwaonesha mabeberu kwamba kuna demokrasia kama yote na wananchi wana imani na taratibu zake.Funika kombe hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…