Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli aisee. Matatizo ni mengi sana. Sisi mtaani kwetu tuliliwa na shida ya barabara, happ panaposumbua kuna wajomba kama watatu hivi waliwahi kusimama na mashine mida ya saa mbili ya saa tatu usiku mimi nilipishana nao kama dkk 10. Waliteka magari ya watu wanatoka kazini, na kupelekea moto balaa. Baada ya tukio damu ilikuwa imetapakaa hapo chini japo hakuua zaidi ya kutoa meno na kuvunja viungo vya wabishi wachache waliokataa kutii amri..Nchi za kiafrica na tawala zake ,hata majambazi na wachawi kuna muda wanatuonea huruma
Kule niliwahi kupanda bus nyuma kuna Polisi wanaescort wako na mashine zao. Nikashngaa nini tena hii? Jamaa wakasema bila hivyo kutokq tunzewe hqdi nyakanazi tu hutoboi. Ila siku hizi tunakatiza tu bila mabunduki.Majambazi wabishi walikuwa mkoa wa Kagera
Ukipita pori la Kimisi au Kasindaga bila kukipata shukru Mungu
Kuna wale tukiwa watoto walileta barua Kwa jirani yetu kuwa wakija wakute elfu 90
Tunashukru jeshi la polisi pamoja na madhaifu Yao ila hili wameliondosha
Uchumi umeimarika , maadili na michongo imekuwa mingi,
Jeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.
Ukuwaji wa technology imesaidia sana ujambazi kupungua.
Nakumbuka tukio la kkkt kimara, zilikuja defenders 3, zikiwa na njemba kama 6 ivi, wakawafungia waumini ndani ya kanisa hakuna kutoka MTU, wakaingia jengo la muasibu , wakatoa pipe wakapewa sadaka za makusanyo ya juma2 hio, ZaidI ya mil35 .
Walitokomea kusikojuliiana huku defender MOJA ikibaki kuhakikisha wale walio tangulia hawafuatiliwi, nao baadae wakatokomea kwa mwendo wa ngiri. 2012
ww jamaa utakuwa "pongo" wwJeshi la polisi halichek na nyani
Hongerq yake kama pongo maana hata wao walikuwa wakijichanganya wajomba walikuwa wanawatoa upepo.ww jamaa utakuwa "pongo" ww
JESUS IS LORD&SAVIOR
Siku hizi mambo shwariKule niliwahi kupanda bus nyuma kuna Polisi wanaescort wako na mashine zao. Nikashngaa nini tena hii? Jamaa wakasema bila hivyo kutokq tunzewe hqdi nyakanazi tu hutoboi. Ila siku hizi tunakatiza tu bila mabunduki.
Yes Mambo yamebadilika sanaMambo yanabqdilika kwa kasi. Hata ukiacha sekta hii ya uharifu hata sekta nyingin4 halali zinabadilika au badil8shwa kwa kasi sana mtu aspojiongeza anaweza kudhali kalogwa kumbe amegoma kubadilika.
Unamaanisha uchawa umechangia kupunguza ujambaka 😆😆😆Kwa kawaida majambazi huwa ni watu wenye ufanisi mdogo katika kazi mbalimbali ambazo ni halali lakini siku hizi wanapata pesa kirahisi kwa mfano baadhi ya watu wanapewa pesa kisa wanawasifia wenye pesa (wamekuwa machawa). Angalia mtu kama Mwijaku, Baba levo bila kumsahau Maulidi Kitenge.
Fauka ya hayo, kuna watu wamekuwa tena wanaume wazima wamekuwa mashuhuri kwa kuuza nyuma (mtu mmoja humu ndani hupenda kuita kinye###), nasikia kwa Tanzania yetu Mr pdidy ameshatembea na watu kadhaa na kuwawezesha kiuchumi, labda Mr pdidy asingekuwepo hawa jamaa wangukuwa majambazi.
Hivyo basi tunapokemea uchawa na matendo ya watu kugawa nyuma kama njugu tujitafakari ili tujue iwapo yanahasara tu au pia yanafaida.
ONA JEMA KWENYE KWENYE BAYA!!
Huu uzi ñaona lengo lako utoke expert kwenda Platinum member, unajiongezeà replies tu.Kipindi cha mwisho cha kikwete na kila cha mwanzo cha magufuri, magaidi uliokua unasikia sana ni wake wenye mlengo wa dini km kule kibiti, si majambazi uliokua umezoea
Jaribu kuwa jambazi na hautoonekana tena kwenye uso wa Dunia wala habari zakoKabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.
Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.
Sababu ya huu ushwari ni nini?
1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?
Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.
Ukileta ujambazi tu unapotezwa tu biashara imeisha watakuwa majambazi wameambiana vikao vyao kaa mbali na ujambazi Tanzania unataka familia yako ione maiti yako na ikuzike vinginevyo waweza potea hewani kama ndege ya malyasia iliyopotea hewani haijawahi patikana hadi leoJeshi la polisi halichek na nyani