Hivi siku hizi hakuna majambazi?

Hivi siku hizi hakuna majambazi?

Uchumi umeimarika , maadili na michongo imekuwa mingi,
Jeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.

Ukuwaji wa technology imesaidia sana ujambazi kupungua.

Nakumbuka tukio la kkkt kimara, zilikuja defenders 3, zikiwa na njemba kama 6 ivi, wakawafungia waumini ndani ya kanisa hakuna kutoka MTU, wakaingia jengo la muasibu , wakatoa pipe wakapewa sadaka za makusanyo ya juma2 hio, ZaidI ya mil35 .
Walitokomea kusikojuliiana huku defender MOJA ikibaki kuhakikisha wale walio tangulia hawafuatiliwi, nao baadae wakatokomea kwa mwendo wa ngiri. 2012
Sijaelewa
 
Uchumi umeimarika , maadili na michongo imekuwa mingi,
Jeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.

Ukuwaji wa technology imesaidia sana ujambazi kupungua.

Nakumbuka tukio la kkkt kimara, zilikuja defenders 3, zikiwa na njemba kama 6 ivi, wakawafungia waumini ndani ya kanisa hakuna kutoka MTU, wakaingia jengo la muasibu , wakatoa pipe wakapewa sadaka za makusanyo ya juma2 hio, ZaidI ya mil35 .
Walitokomea kusikojuliiana huku defender MOJA ikibaki kuhakikisha wale walio tangulia hawafuatiliwi, nao baadae wakatokomea kwa mwendo wa ngiri. 2012
Hela ya sadaka hamna mwenye uhalali nayo acha hao majambazi waichukue
 
Uchumi umeimarika , maadili na michongo imekuwa mingi,
Jeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.

Ukuwaji wa technology imesaidia sana ujambazi kupungua.

Nakumbuka tukio la kkkt kimara, zilikuja defenders 3, zikiwa na njemba kama 6 ivi, wakawafungia waumini ndani ya kanisa hakuna kutoka MTU, wakaingia jengo la muasibu , wakatoa pipe wakapewa sadaka za makusanyo ya juma2 hio, ZaidI ya mil35 .
Walitokomea kusikojuliiana huku defender MOJA ikibaki kuhakikisha wale walio tangulia hawafuatiliwi, nao baadae wakatokomea kwa mwendo wa ngiri. 2012
Tukio kama hilo ni ngumu kufanyika bila kuwa na taarifa za ndani (inside job)....
 
Kabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.

Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.

Sababu ya huu ushwari ni nini?

1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?

Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.
Siku hizi ujambazi umerahisishwa,shamba la bibi ,bibi hayupo tena japo awachukulie bakora wajukuu wakora,hivyo wanajichukulia tu,hawahitaji tena japo kuchukua manati ili kumtisha bibi!
 
Tanzania sasa hivi ufanye ujambazi au ugaidi utakuwa kwanza akili huna na hujipendi wewe binafsi kama wewe
 
Kabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.

Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.

Sababu ya huu ushwari ni nini?

1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?

Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.
Umewamiss mkuu?
 
Kisa kasema hivyo? Hebu jaribu kuwa jambazi kuprove alichosema
No. siwezi kuwa jambazi, Mungu anakataza.

ushwari huwa hausababishwi na uwepo na uimara wa mabunduki na askari (Jeshi). ushwari unaletwa na Mungu mwenyewe baada ya sisi watu wake kumuomba. Ushwari huanzia katika ulimwengu wa roho
 
Sema mwendo ni kuchota tu.
Vyombo vya usalama vya Tanzania sasa hivi wana zero tolerance kwenye ugaidi na ujambazi iwe kwenye planning stage ,au implementation

Ni zero tolerance

Kaa mbali mwananchi na ujambazi na ugaidi kataa kuwa sehemu yake at any stage utaumia tena mno kaa mbali na schemes za ujambazi au ugaidi
 
Kuna wale walikuwa wahaishi mapangoni kule mwanza, siku wanapelekewa moto ilikuwa ni zaidi ya vita. Zilirindima risasi z kutosha hadi wakawa neutralized.
Aisee umenikumbusha ule mtiti wa wale washenzi , ilikuwa ni balaa 2004 kama sikosei hiyo mzee , actually Mimi nilikuwa mhanga wa hao wapuuzi , nilikuwa nakaa na wazazi wangu mtaa wa Kiloleli - Mwanza , Tulivamiwa usiku mmoja wale wapuuzi walikuwa wanavunja milango kwa mawe flani yanaitwa Fatuma .
Na walikuwa wanafunga mtaa ,njemba thelathini , na wana magobole na silaha nyingine kali ,panya road wakasome .
Aisee nakumbuka siku hiyo ile nyumba niliyokuwa nakaa walipiga sana na kujeruhi watu na wengine wanawake walibakwa kabisa .
Yale majamaa sitasahau kabisa ,na sehemu au pango walilokuwa wanajificha ni hapo juu ya kilima cha wakatoliki karibia na Pàrokia ya Kiloleli na shule ya Montessori .
Yalikuwa yanajificha hapo halafu usiku yanaingia mtaani kukinukisha ,halafu wengi walikuwa wakurya ,
Siku wanaenda kufurushwa mle aisee zilipigwa risasi zaidi ya masaa sita na polisi ila walifanikiwa kuyaua mwishoni ,ila naamini kuna mengine yalitoroka .
2004 -2005 ilikuwa miaka hatari sana Mwanza kwa ujambazi wa kutumia silaha
 
Kwa kawaida majambazi huwa ni watu wenye ufanisi mdogo katika kazi mbalimbali ambazo ni halali lakini siku hizi wanapata pesa kirahisi kwa mfano baadhi ya watu wanapewa pesa kisa wanawasifia wenye pesa (wamekuwa machawa). Angalia mtu kama Mwijaku, Baba levo bila kumsahau Maulidi Kitenge.
Fauka ya hayo, kuna watu wamekuwa tena wanaume wazima wamekuwa mashuhuri kwa kuuza nyuma (mtu mmoja humu ndani hupenda kuita kinye###), nasikia kwa Tanzania yetu Mr pdidy ameshatembea na watu kadhaa na kuwawezesha kiuchumi, labda Mr pdidy asingekuwepo hawa jamaa wangukuwa majambazi.
Hivyo basi tunapokemea uchawa na matendo ya watu kugawa nyuma kama njugu tujitafakari ili tujue iwapo yanahasara tu au pia yanafaida.

ONA JEMA KWENYE KWENYE BAYA!!
Kwani hao uliowataja walikuwa majambazi?
 
Back
Top Bottom