matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #101
Hii nayo imekaa sawa.Kazi ya Boda boda na Bajaji inawaifadhi vijana wengi kipata pesa na kutowaza uhalifu Sana.
Boda na Bajaji zipigwe marufuku,Kuna tatizo litaibuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo imekaa sawa.Kazi ya Boda boda na Bajaji inawaifadhi vijana wengi kipata pesa na kutowaza uhalifu Sana.
Boda na Bajaji zipigwe marufuku,Kuna tatizo litaibuka.
Saiv hela inapatikana kwenye kafara na ma Apostles.Kabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.
Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.
Sababu ya huu ushwari ni nini?
1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?
Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.
Majambazi wa kalamu ndiyo hatari zaidiFursa zimekua nyingi pia, mtu anaona haina haja ya kuwa jambazi
Hawa wanapiga B kwa kuclick tuMajambazi wa kalamu ndiyo hatari zaidi
Ova
Umenikumbusha mara ya kwanza safari ya Kigoma, hapo Runzewe waliingia askari wawili na mashine tulipofika Nyakanazi wakashuka wakaingia wajeda wawili.Kule niliwahi kupanda bus nyuma kuna Polisi wanaescort wako na mashine zao. Nikashngaa nini tena hii? Jamaa wakasema bila hivyo kutokq tunzewe hqdi nyakanazi tu hutoboi. Ila siku hizi tunakatiza tu bila mabunduki.
Hatari...Umenikumbusha mara ya kwanza safari ya Kigoma, hapo Runzewe waliingia askari wawili na mashine tulipofika Nyakanazi wakashuka wakaingia wajeda wawili.
Haha haha Kuna kipindi walikuwa Wana total kwa ml60 kwa juma2 MOJA Tu.ndio maana hili kanisa migororo ya viongozi haishiiHela ya sadaka hamna mwenye uhalali nayo acha hao majambazi waichukue
Nimechekaaa km mazuri hahahaahahaYamebaki makaburi na picha za kumbukumbuku.. Hiyo awamu iliyopita haikuwa na msalie mtume.. Walifuatwa waliko wakamalizwa huko huko kimya kimya
Hawa waliobaki kwa haya tunayopitia hata sisi wanatuonea huruma
Washaelimika kuna mtu aliwasanua kwamba kule kuna moto hakuna mabikira 72Dunia inaenda kasi, hata wale mqgaidi wa kujilipua nao hawapo siku hizi.
Hilo tukio la Kimara lilikiwa mwaka gani Mkuu?Uchumi umeimarika , maadili na michongo imekuwa mingi,
Jeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.
Ukuwaji wa technology imesaidia sana ujambazi kupungua.
Nakumbuka tukio la kkkt kimara, zilikuja defenders 3, zikiwa na njemba kama 6 ivi, wakawafungia waumini ndani ya kanisa hakuna kutoka MTU, wakaingia jengo la muasibu , wakatoa pipe wakapewa sadaka za makusanyo ya juma2 hio, ZaidI ya mil35 .
Walitokomea kusikojuliiana huku defender MOJA ikibaki kuhakikisha wale walio tangulia hawafuatiliwi, nao baadae wakatokomea kwa mwendo wa ngiri. 2012
2012Hilo tukio la Kimara lilikiwa mwaka gani Mkuu?
Ndio defenderWalikuja na difenda?
ndio hao hao, siku hizi wanaitwa watu wasiojulikana kazi yao kuteka au kuua
nakumbuka tukio moja hv, pale ubungo waliiba benk wakatokomea tena hapohapo ubungo kukawa na cruza inasafirisha pesa zikapigwa sana risasi, trafik mmoja akawa shujaa kupambana nao, ktk majeruhi wengine wakakutwa lugalo wakitibiwa
Techno imesidia kidogo sana. Soma thread namba 8. Aisee mwamba hakuwa na utani.Wale majambaka hawafai.
Teknolojia ya homesecurity system nayo imesaidia kuna gadgets nyingi unaweza kutegesha ukamtia wasiwasi asijuie umejipangaje.
Jambazi alikuwa KIPAGATI Iringa,,,,,,na KADOGOO Moshi,,,,,,Kabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.
Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.
Sababu ya huu ushwari ni nini?
1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?
Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.
Tupo mkuu tunakula mafao kwanzaKabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.
Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.
Sababu ya huu ushwari ni nini?
1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?
Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.