Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Naunga mkono hojaJeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaJeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.
NambA 1, 2 na 5 ni hao hao, wameelewana kufanya yao kwa jinsi tofauti!Kabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.
Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.
Sababu ya huu ushwari ni nini?
1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?
Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.
😱ukisikia kiongozi fulani kachota pesa za umma huo ni ujambazi.
Sasa hivi mtu unasafiri usiku wa manane hiyo njia hakuna jambazi wa kukugusaUmenikumbusha mara ya kwanza safari ya Kigoma, hapo Runzewe waliingia askari wawili na mashine tulipofika Nyakanazi wakashuka wakaingia wajeda wawili.
Kipindi kile, ukikutwa na Bunduki ni bye bye 👋.
Ukishapewa kisago ukataja wenzako, wanakuchukua unaingizwa porini kisha unakula ya kichwa stori imeisha.
Huu mfumo ulianzia kenya, watu wLikua wanapigwa risasi waziwazi maeneo kama kkoo mbele ya kadamnasi.
View: https://youtu.be/pOjYnSAAcnQ?si=Px9Fz94638UZd7Xk
Wapo mbona? Au huangaliagi bongo movies!?😀Jambazi akuonee huruma!
Yes.Sasa hivi mtu unasafiri usiku wa manane hiyo njia hakuna jambazi wa kukugusa
😂Yamebaki makaburi na picha za kumbukumbuku.. Hiyo awamu iliyopita haikuwa na msalie mtume.. Walifuatwa waliko wakamalizwa huko huko kimya kimya
Hawa waliobaki kwa haya tunayopitia hata sisi wanatuonea huruma
Uchumi umeimarika , maadili na michongo imekuwa mingi,
Jeshi la polisi liko imara sana, mpaka wao Sasa ndio wamekuwa watekaji na wauwaji wa raia.
Ukuwaji wa technology imesaidia sana ujambazi kupungua.
Nakumbuka tukio la kkkt kimara, zilikuja defenders 3, zikiwa na njemba kama 6 ivi, wakawafungia waumini ndani ya kanisa hakuna kutoka MTU, wakaingia jengo la muasibu , wakatoa pipe wakapewa sadaka za makusanyo ya juma2 hio, ZaidI ya mil35 .
Walitokomea kusikojuliiana huku defender MOJA ikibaki kuhakikisha wale walio tangulia hawafuatiliwi, nao baadae wakatokomea kwa mwendo wa ngiri. 2012
Ujambazi wa silaha hakuna nyakati hizi either umepungua ila misala imehamia mitandaoni kwa sasa. Ndo watu wanakovamiwa.Kabla ya awamu iliyokatishia njiani na hii ya sasa ilikuwa haipiti wiki unasikia watu wamevamiwa, majambazi yameuwawa ila siku hzi hizo habari hazipo kwa kasi ile.
Cha ajabu sikuhizi vimeibuka vituo vingi (benk ndogo) mitaani vinavyofanya kazi kwa miamala ya simu na Benki. Zamani ikifika saa 12 vituo hivi kama sio kufungwa basi hawawezi kufanya miamala zaidi ya 100K. Sasa hivi hata 1M unaweza kutoa usiku na hakuna matata.
Sababu ya huu ushwari ni nini?
1: Majambazi yalitokomezwa kabisa?
2: Jeshi la Polisi liko imara?
3: Majambazi wametafuta shughuli za kufanya au wameadvance zaidi?
4: Upo ila taarifa ndio wengi hatuzipati?
5: Mama anaendelea kuupiga wa kutosha?
Ni hayo tu.
Ni tukio gani ambalo hautalisahau.
Sure ,awamu ya jiwe ilifanikiwa sana kulala nao "MBERE" ,hata Panya Road nao walitangulizwa mawinguni...Ukicheka na Nyani utavuna mabua ,walikuwa wakikamata jambazi wanachukua chain yao yote wanaenda kula VYUMA.Yamebaki makaburi na picha za kumbukumbuku.. Hiyo awamu iliyopita haikuwa na msalie mtume.. Walifuatwa waliko wakamalizwa huko huko kimya kimya
Hawa waliobaki kwa haya tunayopitia hata sisi wanatuonea huruma
Sio kweliJeshi la polisi halichek na nyani
SahihiHuu mwaka ulioweka ni sahihi?
Maana hii tabia inasemwa ni ya Rais aliyetangulia mbele ya Haki (2015-2020).