Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Duu! mkuu,kwenye zama hizi ambazo video zinasambaa kabisa kuonyesha wanawake na wanaume wananatana bado huamini katika kunatana,labda useme hujui sababu lakini siyokusema haijawahitokea,labda kama umekuja sasa hivi duniani.
Mbona hata nguva anaonekana kwenye video nyingi tu, lakini hakuna binadamu hata mmoja aliyewahi kumuona kwa macho, hata hizo video za watu kunatana ni za kutengeneza, hakuna mtu kashuhudia tukio hilo. Video zinatengenezwa tu.
 
Hilo kufuli noma sana aka viro,

Hii ni njia nzuri sana kutokomeza baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na watu kujamiiana hovyo (ukimwi) na wapenzi wengi wengi, pia inafanya watu waheshimu ndoa zao, tukiona inafaa basi tuipitishe kisheria watu wakioana tu wanawekeana hayo ma tego , hakuna kutoka nje ya ndoa, hata ukimwi utapungua kwakweli,

Afrika tuna science nzuri sana kijamii, kiuchumi na kisiasa, sema tu ndio hivyo u magharibi umetuzidi sana.
 
Ni masimulizi ambayo mara nyingi huwa yamepangwa ili mganga fulani awe mashuhuri zaidi. Ni sawa na Gwajima anapokwenda vijijini huko na kununua "misukule" au "maiti" za kuja kufufua mbele ya misukule yake Tanganyika Parkers Kawe. Kuna kipindi cha Kenya kilichofunua ujanja huu. Usiamini kila kitu mkuu hasa nyakati hizi!
 
Kunatana wakati wa tendo la ngono kunaelezeka kusayansi. Kwa kiingereza kunaitwa penis captivus. As the name implies, penis captivus occurs when a man's penis gets "stuck" in a woman's vagina. This is extremely rare in humans (more common in some animals) and usually lasts only a few seconds. But it can happen. It's believed this phenomena may be caused by contractions of a woman's muscles during orgasm. Asanteni
 
Ngoja mkuu apitishe iwe sheria, gesti zitadoda
 
Zitabaki kwa wageni tu (wasafiri) inabidi ipate promo yakutosha kusudi watu waielewe hii njia salama kijamii nk
Kupita sidhani, ila kwetu pwani hii kitu ipooo sanaaa, ukikaa kilingen unaambiwa huyo kategwa, na huyo pia, hhhhhahaha utabaki kula kwa macho
 
Linasababishwa na tabia ya kuchepuka na wake za watu, ama waume za watu ova!
 
Hiyo kitu hutokea mara chache. Sana.. Yani mara chache sana...

Na hutokea pale misuli ya uke inapo kaza ghalfa na kwa nguvu kwa ajili ya raha iliyopitiliza lakini ghafla mwanaume akapoteza mood na uume wake ukasinyaa ukiwa bado ndani ya uke...


Hata ajitahidi vipi uume hautoki mpaka misuli ya uke utakapoachia wenyewe...

Ni kitendo ambacho mwanamke mwenyewe hawezi kuki-control hutokea ghafla...


Cc: mahondaw
 
Uchawi huo jarbu kwenda kumsaliti mpenzi wako halafu ukute anajihusisha na mambo ya ushirikina utajuta kwa kawaida si rahisi mtu kunaniana hivi hivi chanzo ni ushirikina.
 
umejuaje yote hayo?
 
Vinaogopesha kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…