Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Hayo ni maneno tu yanasemwa, hakuna kitu kama hicho na wala hakuna mtu aliyewahi kushuhudia tukio hilo. Ni kama ile stori ya samaki mtu (Nguva) hakuna huyu samaki Duniani.
Oo kumbe!!! Ombea yasikukute
 
Iko hivi, katika ulimwengu wa tamaduni za asili kuna dawa na kizimba. Huwezi unda dawa bila kizimba. Tunachukua mbwa walionatana na kuwaua bila kuachana then tunakata viungo vyao vilivyoshikana na kuvikausha.

Tunachanganya na dawa ingine pamoja kisha tunanuiza kuipa dawa nguvu.

Hapo tunachukua kisu cha ala cha kuchomeka tunaweka dawa ndani............ ..

Basi bwana kwa ufupi mwanamke hushiriki kujiloga maana kuna hatua lazima mwanamke mtegwaji amalizie.

Karibu sumbawanga hatuonei mtu ni haki kwa haki. Ukikosea omba msamaha yaishe ukijidai mjuaji kama watu wa chama kile tunakunyoosha.
 
Wanakataa, mimi nawaambia haya yapo
 
Hakuna jambo kama hilo,hizo ni story tu
Kunatana kupobila ni kitu cha kawaida sababu ute te unakuwa umekauka! Siku mlainishe shemeji kisha ukiwa ndani hakikisha unasugua mpaka ute mweupe anatoa kisha usichomoe mashine ila potezea mpaka apoteze stimu huku wewe uko ndani, ule ute weupe utageuga "gundi".
 
Umeona eeh, haya mambo yapo mkuu
 
Duu! mkuu,kwenye zama hizi ambazo video zinasambaa kabisa kuonyesha wanawake na wanaume wananatana bado huamini katika kunatana,labda useme hujui sababu lakini siyokusema haijawahitokea,labda kama umekuja sasa hivi duniani.
Ha ha haaaaa! Mwenyewe sijamuelewa kabisa aisee
 
Kabisa yaani
 
Ngoja yakukute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…