Hivi tatizo la kutosikia vizuri ni tatizo kubwa zaidi duniani?

Hivi tatizo la kutosikia vizuri ni tatizo kubwa zaidi duniani?

Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Pole! Umeongelea wasioona kuvaa miwani, vipi kwa upande wenu, hata vya kusaidia kusikia haviwezekani? Kila muamba Ngoma, huvutia kwake, unapokuwa na tatizo, unaweza kudhani hakuna mhanga kama wewe, ila kila anahisia hiyo kwa changamoto aliyonayo. Kama mna umoja wenu, angalieni ni eneo gani jamii haiwaelewi na vipi mnaweza kutoa uelewa kwako, pengine itamaliza kabisa unyanyapaa. Binadamu ni wabinafsi, yeye akiwa vizuri, haoni tatizo la mwenzie.
 
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Nina situation kama hiyo na nimeshapitia matibabu nje, kama utaridhia twaweza kuwasiliana. Karibu PM iko wazi.
 
Kama unasikia kiasi naona sio sawa watu kudakia kwa watu wanaokusemesha ila kama husikii kabisa, mtu akikusemesha mara 2 hadi 3 mtu anaekufahamu anaweza kuitikia kwa niaba yako kwa kusema una tatizo la kutokusikia vizuri

Nilikua nasambaza gesi majumbani nikakutana na visa viwili vya aina hii, sasa kwakuwa mimi ni mtu wa kusalimia kila mtu nikishaingia getini alafu mwenye matani mengi nilijifunza kwamba mtu ambae hasikii vizuri ukimsemesha mara 2 asipoitikia unaona ni dharau kumbe sivyo ndio maana nikasema mtu anaejua tatizo lako akiwepo karibu lazima atamjibu yule anaekusemesha ili kuondoa sintofaham.
Hili ni kweli kabisa. Na ni hatua ya muhimu sana kwa mwenye tatizo kujua jinsi ya kuishi katika mazingira hata yale ambayo watu hawamfaham kabisa.
Nachokiona mwenye tatizo anapoliona tatizo lake la kutosikia vizuri kuwa kubwa kuliko lilivyo, inaishia kumkosesha mpaka ile confidence ya kimawasiliano na watu wapya pia inafanya akose ule ushirikiano wa kimawasiliano.
Sasa anayekuwa anawasiliana naye, by default anakuwa ameAssume kuwa anaongea/anawasiliana na mtu asiyekuwa na shida yoyote ila kumbe ni mwenye tatizo la kutosikia vizuri.
 
Mimi Pia ni Muhanga, Changamoto ni Nyingii Sana Ninazokutana Nazo , Nakumbuka Nilikosa Kazi Ya Ulinzi Kampuni Moja kubwa Kisa Usikivu wakati Written interview nilikuwa Nimefanya Vizuri tuu ila Wale Maboss Wakanitema, Daah Niliumia sana. Sasa Nimeamua kurudi shule Kusoma., Nipo chuo na bado Changamoto Ni Nyingiii Sana Sema Kinachonisaidiaga Mimi ni Mkimya Sana ( Introvert Pro Max ). Kwasasa Ninachomuomba MUNGU Nipate Ajira Kwenye huu Mtaala Mpya wa Elimu, Naamini MUNGU Atatenda.
 
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Hiko hivyo ndio walimwengu ukishawaelewa awakubabaishi kitu🤸
 
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Same to me kabisa inafika mahala mpaka unahisi ilo tatizo ni kubwa kuliko yote,

Yote uliyo andika ni ipogo hivyo lakini Mimi awanipagi shida yaani ni nunda haswa halafu najikubali kinoma anibabaishi mtu👊🤸
 
Mimi nachoshukuru nilionana na daktari Mhindi pale Upanga akaichana ukweli;
"Kijana hiki kifaa hata nikikupa hakitokisaidia kabisa maana masikio yako yana matatizo zaidi upande wa mishipa, kwahiyo mshukuru Mungu hata macho yako yanaona unajua kusoma na kuandika."
Mwisho wa kunukuu
Mkuu wewe ni Mimi kabisa pale hear well clinic. Yule daktari aliniambia Mimi pia hivi hivi kwamba tunakupa Ila guarantee ya kupono ni nusu kwa nusu .
 
Nilishawahi kumzingua mtu fulani kwa kudhani ananidharau kumbe jamaa hasikii vizuri, kile kitu kilinitafuna sana hadi leo huwa najiona nina hatia tangu siku ile nikikutana na hali kama ile nikimsemesha mtu na nikamuona hanizingatii huwa nakua mpole na kurudia kumuuliza kistaarabu
 
kimsingi ni kwamba hali ya ulemavu kwa jamii nyingi za watanzania ni changamoto. Wewe unazungumzia suala la usikivu hafifu, kuna watu ni viziwi wasioona ulishawahi kujiuliza hawa ndugu kwenye jamii wanaishi vipi? cha msingi ni kukubaliana na hali uliyonayo nakuchukulia zile changamoto kama tu ni vikwazo vidogo kwenye mafanikio yako. Jamii yetu bado ina unyanyapaa mkubwa kwa watu wenye ulemavu.
 
Mimi Pia ni Muhanga, Changamoto ni Nyingii Sana Ninazokutana Nazo , Nakumbuka Nilikosa Kazi Ya Ulinzi Kampuni Moja kubwa Kisa Usikivu wakati Written interview nilikuwa Nimefanya
Akunyimae Kunde..., Sasa huoni kwamba huenda vibaka wangekunyemelea wewe bila kujua na kukupiga roba au mali kupotea kwa uzembe wa wengine ukazingiziwa kwamba haukusikia ?

Uzuri kuna mambo mengi ya kufanya mengine ambayo hayahitaji kabisa usikivu makini...
 
Dawa za asili zipo usiwe mbishi Kwa kila kitu Mimi mzee wangu alikuwa hasikii .

Ila kuna Dawa alitumia akapona .

Nipo Bukoba Ila nikifika DSM Kwa mzee nitamuuliza hiyo Dawa.

Dawa zipo na zinatibu
Mpaka ufike Dar Mzee? Kuwa serious kidogo. Mzee hana simu?
 
Pole sana mkuu, kuna rafiki yangu mmoja wa kimahusiano alikuwa na changamoto kama hiyo miaka 7 imepita, nikatafuta hospitali yenye huduma hiyo kwa mtandao, nikapata hapo Arusha, lakini huyo dokta hajaajiriwa ila kutokana na utaalamu wake alikuwa anatumiwa na hospitali nyingi, kwa hiyo kumpata kwake mpaka mpeane 'appointment' kupitia hospitali husika.

Nilivyomtuma mgonjwa kuonana naye siku husika; alimulikwa tu na zile tochi zao; mpaka leo tatizo la kuumwa au kutokusikia kwake limeisha.

Haya matatizo ambayo ni 'technical' ni vizuri kujaribu kutoka sehemu moja hadi nyingine, kwa sababu ujuzi huwa wanatofautiana.​
Inaitwaje hiyo hospital?
 
Pole sana mkuu, kuna rafiki yangu mmoja wa kimahusiano alikuwa na changamoto kama hiyo miaka 7 imepita, nikatafuta hospitali yenye huduma hiyo kwa mtandao, nikapata hapo Arusha, lakini huyo dokta hajaajiriwa ila kutokana na utaalamu wake alikuwa anatumiwa na hospitali nyingi, kwa hiyo kumpata kwake mpaka mpeane 'appointment' kupitia hospitali husika.

Nilivyomtuma mgonjwa kuonana naye siku husika; alimulikwa tu na zile tochi zao; mpaka leo tatizo la kuumwa au kutokusikia kwake limeisha.

Haya matatizo ambayo ni 'technical' ni vizuri kujaribu kutoka sehemu moja hadi nyingine, kwa sababu ujuzi huwa wanatofautiana.​
Hyo haikuwa na hearing loss kutoka upande wa neva ila alikuwa na uchafu kwenye masikio.

Wenye hearing loss kutokana na neva hawa wanapata matatizo mengine ambatano ; miguu kufa ganzi ,matatizo ya macho ,mwili mzima kufa ngani.

Halafu kupigwa tochi ni local sana tena hatua ya mwanzoni kabisa ,hata hospital za kata wanaweza kufanya hivyo then wanakupiga bomba.

Kuna kipimo cha kuangalia aina ya tatizo ,aidha ni symmetrical au asymmetrical hearing loss...Wanapima kwa kuangalia level za kusikia ,sana sana wanaangalia : je ,masikio yote yana uwezo sawa wa kusikia au moja lina tatizo tofauti na lingine...Ukifika hatua hii tambua ni neva na kinachofuata labda upandikizaji wa vifaa, operation (gharama sana)au kutumia vifaa vya kawaida typically amplifier .


Ukiona kapona kwa urahisi hivyo basi ni uchafu kwenye masikio ,ndugu yangu tumezunguka kote mpaka amekosa raha kwa sasa ila darasani ni kichwa sana ,wajinga wanaamini eti karogwa ila complications nyingine kma miguu anazo hawezi hata kukimbia .
 
Dawa za asili zipo usiwe mbishi Kwa kila kitu Mimi mzee wangu alikuwa hasikii .

Ila kuna Dawa alitumia akapona .

Nipo Bukoba Ila nikifika DSM Kwa mzee nitamuuliza hiyo Dawa.

Dawa zipo na zinatibu
Boss,dar unaenda lini?
Na jee huwezi kumwomba mzee akapiga picha hizo dawa?
 
Back
Top Bottom