Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafanyaje mkuu...Kuna mda inabidi kuzingatia idadi ya watu wa karibu na kupungiza mazoea. Nao.Mimi huwa naona njia nzuri na bora ya kushinda hali Kama yako.
Kuwa na circles ya watu wanaojua shida yako and hang out with them.
Maana huku Africa Tanzania hatukuandaliwa Kama watu ambao tunaweza Kuvaa viatu vya mtu.
Nimewahi kuona mama mtu mzima na nilikuwa namuheshimu Sana Ila alikuwa akimuita Dada ninayekaa nae mtaani Kiziwi alikuwa hasikii vizuri so that was bullshit Ever.
Pole.anza upyaNimekosa fursa nyingi kwasababu ya tatizo hili. Nimepoteza hata marafiki, Jf ndio imekuwa sehemu ya kupozea machungu
Unaijua quinine?Dawa za asili zipo na zinatibu kweli, ila kwa tatizo lililosababishwa na mwingne.
Ila aliyezaliwa na hilo tatizo haponi, mzee wako alirogwa huyo.
Karibu Mtaani kwetu hukuTutafanyaje mkuu...Kuna mda inabidi kuzingatia idadi ya watu wa karibu na kupungiza mazoea. Nao.
Mi natamani kuhama mtaa nnaoishi ila ndo hivo
Yess naijua.Unaijua quinine?
Msaidie ajiajiri.hiyo ndio njia nafuuMdogo wangu kakosa ajira mara nyingi,shida ni hiyo.
Hahaa asante.niombee Mungu anifanikisheKaribu Mtaani kwetu huku
Mimi nilihudhuria clinic Muhimbili ENT miezi 3 nikitumia dawa huku wakiendelea kuniangalia,na aliyekuwa daktari wangu ni specialist wa ENT,baada ya miezi 3 wakasema solution ni mbili,ufanyiwe operation ambayo ni very risk,unaweza kupona au ukabaki na kilema,au utumie hearing aids,akasema sikushauri ufanye operation,kwahiyo nikaandikiwa hearing aids na nikaanza kuzitumia,zinasaidia kwa kiwango flani lakini sio kama zinakurudishia usikivu wa sikio la kawaida...
Basi ndio chanzo Cha Hilo tatizo Kwa asilimia kubwa.wengi wanadungwa ama wanawekewa kwenye drip kuwaokoa malaria ikigoma kupona.sasa side effects zake mojawapo ni masikio.Yess naijua.
Hakuna namna itabidi iwe hivoMsaidie ajiajiri.hiyo ndio njia nafuu
Sijajua aisee mimi pia ni medical personnel but nimeshiWanasema tatizo ni nini?
ndwa kujua why happenWanasema tatizo ni nini?
Sija kusikia vzri umesemaje et🤣 Nini
Kuna interview moja niliingia, nilipojitambulisha tu kuwa ninashida kiasi ya usikivu, hivyo kwa maswaali ambayo itakuwa sijayasikia wanaweza kuniandikia kwenye karatasi. panelist wakastop kuniuliza maswali badala yake wakaniomba mimi ndio niwaulize wao maswali dah..Kukosa kutosikia ni ulemavu na tatizo kubwa Sana .
Hili tatizo ni kumuomba Mungu usilipate maana ukiwa unatoka broke family na haupo vizuri litakukosesha fursa nyingi na Kuonekana haufai.
Nilichogundua mawasoliano yabeba sehemu kubwa ya mafanikio ya MTU .
Hearing loss ambayo wengi wetu inatokana na shida ya sikio ka ndani haina tiba.Hapana Mimi binafsi sipo sehemu ya kufanya maamuzi na siwezi kumnyima mtu fursa kisa hasikii.
Pia naomba kuuliza tatizo lako umejaribu kulitafutia tiba ?
Mfano tiba za hosotalini na tiba za Asili.?
Mimi pia nimewahi kupewa hiko kifaa. Mjini kimekuwa ni kama biashara ya kulazimisha kila mwenye tatizo la kusikia kukitumia.Unajua hearinh aid ina kao gani na inatumiwa na kina nani?
Aiseee ni hatariiii.Basi ndio chanzo Cha Hilo tatizo Kwa asilimia kubwa.wengi wanadungwa ama wanawekewa kwenye drip kuwaokoa malaria ikigoma kupona.sasa side effects zake mojawapo ni masikio.
Watu wengi Sanaa walikufa ka malaria ila wengine ikwaokoa..ukioverdose ndo matokeo huwa hivo
Hata Sasa yapo madawa yanatobu na kuharibu masikio,ama Figo nk
Mimi nachoshukuru nilionana na daktari Mhindi pale Upanga akaichana ukweli;Mimi pia nimewahi kupewa hiko kifaa. Mjini kimekuwa ni kama biashara ya kulazimisha kila mwenye tatizo la kusikia kukitumia.
Yaani inatia hasira kweli mkuu, kuna muda unahisi pengine Mungu kama anawapendelea wengineMdogo wangu kakosa ajira mara nyingi,shida ni hiyo.