Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
- #61
𤣠NiniUmesemajeeeee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𤣠NiniUmesemajeeeee....
Sawa.maybe hatuzijui.Dawa za asili zipo usiwe mbishi Kwa kila kitu Mimi mzee wangu alikuwa hasikii .
Ila kuna Dawa alitumia akapona .
Nipo Bukoba Ila nikifika DSM Kwa mzee nitamuuliza hiyo Dawa.
Dawa zipo na zinatibu
Nimewapokea kama walivyoHuyo sio mtu mzuri kwako ikiwa atawakuta kwenye maongezi alafu akachangia chochote kuhusu hali yako
AsanteNimekaa na kuishi na mtu asiesikia vizuri nakuelewa sana jinsi gani unajisikia
Naomba ulizingatie hilo expert wangu,hawa wanahitaji msaada sanaDawa za asili zipo usiwe mbishi Kwa kila kitu Mimi mzee wangu alikuwa hasikii .
Ila kuna Dawa alitumia akapona .
Nipo Bukoba Ila nikifika DSM Kwa mzee nitamuuliza hiyo Dawa.
Dawa zipo na zinatibu
Pole sana mkuu. Kwangu mimi nadhani ni tatizo dogo ila watu sijui ni kwa nini wanafanya hivyo. Umewahi kujaribu kutumia hearing aid?Salaam,
Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"
Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.
Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?
Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazitoš¤£
Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!
Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Ni kweli ila jamii inalikuzaPole sana mkuu. Kwangu mimi nadhani ni tatizo dogo ila watu sijui ni kwa nini wanafanya hivyo. Umewahi kujaribu kutumia hearing aid?
mkuu tatizo la usikivu wa mzee wako ulikuwa kiwango gani..maana matatizo ya usikivu yana tofutiana kiwango kuna ambao hawasikii kabisa,kuna wanaosikia kwa mbaali sana na kuna wale wanasikia sauti tu iwe mtu anaongea au awe anaongea kwenye spika au redio atasikia vizuri tu lakini hatoelewa maneno gani yametamkwa yaani kwake anasikia kama zogo tu hapati tafsiri ya maneno yanaongelewa zaidi ya sauti tupu..ukitaja hio dawa ya asili utakuwa umesaidia wengi kwani tuna ndugu wana hii shidaDawa za asili zipo usiwe mbishi Kwa kila kitu Mimi mzee wangu alikuwa hasikii .
Ila kuna Dawa alitumia akapona .
Nipo Bukoba Ila nikifika DSM Kwa mzee nitamuuliza hiyo Dawa.
Dawa zipo na zinatibu
mkuu tatizo la usikivu wa mzee wako ulikuwa kiwango gani..maana matatizo ya usikivu yana tofutiana kiwango kuna ambao hawasikii kabisa,kuna wanaosikia kwa mbaali sana na kuna wale wanasikia sauti tu iwe mtu anaongea au awe anaongea kwenye spika au redio atasikia vizuri tu lakini hatoelewa maneno gani yametamkwa yaani kwake anasikia kama zogo tu hapati tafsiri ya maneno yanaongelewa zaidi ya sauti tupu..ukitaja hio dawa ya asili utakuwa umesaidia wengi kwani tuna ndugu wana hii shida
Hakika nami nilipitia hali hii kwa masaa kadhaa ila nilihisi upweke mkubwa , nikawaza siku yangu kazini itaenda vipi ila baadae hali ikakaa sawa, japo mpka sasa hali uachafu kwenye masikio inanipa tabu kwani huwa hautoki hvyo kuna kipindi sikio linawasha sana ila mpka ule uchafu utoke inakua kipindi kigumu na ukitoka unakua umekauka kabisaNaomba ulizingatie hilo expert wangu,hawa wanahitaji msaada sana
Yan nasoma komenti hapa nasikitika,mtu unaweza kujiona unachangamoto fulani kumbe wenzio ni kubwa zaidi
Poleni sana ndugu zangu,maana binafsi nilipata tu changamoto ya sikio la kushoto kutosikia vizur kutokana na kutumia zile stiki kutoa uchafu,kumbe nikawa nasokomeza uchafu ndani,kutokana na maji basi ukaganda na kusikia ikawa shida
Mtu akiwa anaongea upande wa sikio la kushoto ambapo nilipata changamoto ilikuwa mpaka nigeuke sikio la kulia,simu nayo nilizoe kushoto ikabidi nitumie upande wa kulia
Kuzungumza ikawa shida katika kubalance sauti,sometime naongea sauti kubwa,lkn nilienda hosp wakaniflash na maji ya moto kwa kutumia bomba la sindano,ofkozi hakuwa doktori special wa sikio ila allijiongeza tu
Kweli ukatoka uchafu mwingi,baada ya hapo nikiwa na usikivu mzuri wa awali,sasa hv hunikuti natumia vijiti vya pamba ng'o
Sasa mm hiyo ni changamoto ya mda tu,nyie wenzangu ndio mtihani sana
Pole sana,sasa ikiwa bado unakusumbua fanya mpango siku moja uwatembelee wataalamu wa sikio,ili kama kuna mabaki baki wayaondoe kabisaHakika nami nilipitia hali hii kwa masaa kadhaa ila nilihisi upweke mkubwa , nikawaza siku yangu kazini itaenda vipi ila baadae hali ikakaa sawa, japo mpka sasa hali uachafu kwenye masikio inanipa tabu kwani huwa hautoki hvyo kuna kipindi sikio linawasha sana ila mpka ule uchafu utoke inakua kipindi kigumu na ukitoka unakua umekauka kabisa
Poleni ndugu zangu wenye shida hii
Naaam nimeelekezwa hospital ya Ekenywa Magomeni ndo nataka kwenda maana hali hii ya kuwasha kwa sikio ikinipata nakua kama chiziPole sana,sasa ikiwa bado unakusumbua fanya mpango siku moja uwatembelee wataalamu wa sikio,ili kama kuna mabaki baki wayaondoe kabisa
Huwezi jua kiasi kidogo kinachobaki huenda kinachangia tatizo kujirudia mara kwa mara
Je, zilikusaidia? Yaani ulisikia vizuri ila ukakatishw tamaa na maumivu? Ulinunua brand nzuri au ulinunua za bei rahisi zisizo na viwango? Huwa wanasema ni kawaida kuwa uncomfortable kwa siku za mwanzoni na baada ya muda utazizoea.Ni kweli ila jamii inalikuza
Nimewahi ila nkawa naambulia maumivu
poa, na vp wale wanaosikia sauti vizuri tu lakini hawaelewi ni maneno gani muongeaji ameyatamka je,hawana dawa au ndio tuamini wenye shida ya wanasikia sauti tupu bila tafsiri ya maneno yatamkwayo kuwa tatizo hilo haliponi na halina dawa.?Mzee wangu alikuwa anasikia Kwa mbali ili msikilizane inabidi utumie sauti kubwa Sana na umsogelee masikioni .
Nlipata za kiwango Cha kawaida,baadae nkapata za bei ya juu.but ndio hivo zinasaidia ila ukivua Sasa usiku maumivu Hadi kwenye ubongoJe, zilikusaidia? Yaani ulisikia vizuri ila ukakatishw tamaa na maumivu? Ulinunua brand nzuri au ulinunua za bei rahisi zisizo na viwango? Huwa wanasema ni kawaida kuwa uncomfortable kwa siku za mwanzoni na baada ya muda utazizoea.
Mkuu hiki kifaa kazi yake ni kukusanya mawimbi ya sauti na kuyaelekeza ndani ya sikio, sasa kwa mtu ambaye anashindwa kuelewa kinachozungumzwa hata kwa sauti kubwa kitamsaidia vipi?.Je, zilikusaidia? Yaani ulisikia vizuri ila ukakatishw tamaa na maumivu? Ulinunua brand nzuri au ulinunua za bei rahisi zisizo na viwango? Huwa wanasema ni kawaida kuwa uncomfortable kwa siku za mwanzoni na baada ya muda utazizoea.
Wakati naanza kubalehe ndio lilianzaTatizo lako lilianza mwaka gani, ulizaliwa nalo?
Mkuu matatizo mengi yana Dawa iwe za asili au kisasapoa, na vp wale wanaosikia sauti vizuri tu lakini hawaelewi ni maneno gani muongeaji ameyatamka je,hawana dawa au ndio tuamini wenye shida ya wanasikia sauti tupu bila tafsiri ya maneno yatamkwayo kuwa tatizo hilo haliponi na halina dawa.?