Hivi tatizo la kutosikia vizuri ni tatizo kubwa zaidi duniani?

Hivi tatizo la kutosikia vizuri ni tatizo kubwa zaidi duniani?

Mkuu hiki kifaa kazi yake ni kukusanya mawimbi ya sauti na kuyaelekeza ndani ya sikio, sasa kwa mtu ambaye anashindwa kuelewa kinachozungumzwa hata kwa sauti kubwa kitamsaidia vipi?.
Ni kweli.maana auditory nerves zinakuwa zimepara tatizo.sasa faida peke atayoipata ni sauti kuja Kwa juu but kuelewa matamshi ni Kwa kubahatisha
 
Pole Sana mkuu

Mimi binafsi nilikuwa naichukulia kawaida sana changamoto ya usikivu Ila Karina harakati zangu nimegundua hii ni changamoto kubwa na inaweza kumkosesha mtu fursa za kiuchumi.

Sehemu nyingi maeneo ya Kazi wakigundua hausikii vizuri tayari wanaanza kukufanyia unyanyasaji .

Ndo maana wasomi wengi wenye hii changamoto asipopata fursa serikalini wanaamua kufanya tu Biashara .

Ni mateso Sana .


Ni mbaya MTU akifanyia stigma
 
Pole Sana mkuu

Mimi binafsi nilikuwa naichukulia kawaida sana changamoto ya usikivu Ila Karina harakati zangu nimegundua hii ni changamoto kubwa na inaweza kumkosesha mtu fursa za kiuchumi.

Sehemu nyingi maeneo ya Kazi wakigundua hausikii vizuri tayari wanaanza kukufanyia unyanyasaji .

Ndo maana wasomi wengi wenye hii changamoto asipopata fursa serikalini wanaamua kufanya tu Biashara .

Ni mateso Sana .


Ni mbaya MTU akifanyia stigma
Umesema ukweli.tunapitia wakati mgumu sana kiuchumi.ni wachcahe hufanikiwa
Ukiwa huna elimu kubwa ama ujUzi ndio tatizo zaidi
 
Unais
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
hi vp kucopy na hiyo hali ya unyanyapaa@sister abigail
 
Salaam,

Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"

Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.

Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?

Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣

Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!

Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
The same hali yangu nina hali yangu ya kutokanyaga chini miguu yangu yote miwili ila mimi nimechukulia kawaida tu
 
Umesema ukweli.tunapitia wakati mgumu sana kiuchumi.ni wachcahe hufanikiwa
Ukiwa huna elimu kubwa ama ujUzi ndio tatizo zaidi

Kweli Ila Kama umepata hii shida ni vizuri ukawa makini Sana ili usikuze tatizo zaidi .

Maana Mimi nimekaa na Dada hasikii viziuri kiukweli nimeoja ambavyo anajichukia Sana maana kila mtu anamkataa hasa katika mahusiano.
 
Unais
hi vp kucopy na hiyo hali ya unyanyapaa@sister abigail
Unamaaniaha ku cope?
Kama ni hivo huwa unahitaji kuwachukulia watu tu kamaa walivyo.haitakupa shida
Ila ukiendelea kuwapa mkazo na attention kubwa unajikuta uko depressed.
Mi Kwa Sasa nimewazoea.
 
Ni wewe tu unavyojiweka, kuna sehemu nyingine unakuta mlemavu ndio kila kitu yaani kwenye kitengo/ group/ au sehemu yenye maamuzi fulani kijamii bila yeye hamtoboi.
Jiamini,Jithamini,weka mipaka na hakikikisha watu wanafuata kanuni na taratibu zako iwe kifamilia ,kimapenzi ,kikazi n.k.
Onyesha thamani yako wengine watafuata.
Hii imenisaidia sana hadi hapa nilipofika.
Barikiwa mno kwa maneno ya kweli.
 
Linaweza kutibika ukitembelea wataalamu wa masikio, wanatambulika 'ENT'
Mimi nilihudhuria clinic Muhimbili ENT miezi 3 nikitumia dawa huku wakiendelea kuniangalia,na aliyekuwa daktari wangu ni specialist wa ENT,baada ya miezi 3 wakasema solution ni mbili,ufanyiwe operation ambayo ni very risk,unaweza kupona au ukabaki na kilema,au utumie hearing aids,akasema sikushauri ufanye operation,kwahiyo nikaandikiwa hearing aids na nikaanza kuzitumia,zinasaidia kwa kiwango flani lakini sio kama zinakurudishia usikivu wa sikio la kawaida...
 
Mimi huwa naona njia nzuri na bora ya kushinda hali Kama yako.

Kuwa na circles ya watu wanaojua shida yako and hang out with them.

Maana huku Africa Tanzania hatukuandaliwa Kama watu ambao tunaweza Kuvaa viatu vya mtu.


Nimewahi kuona mama mtu mzima na nilikuwa namuheshimu Sana Ila alikuwa akimuita Dada ninayekaa nae mtaani Kiziwi alikuwa hasikii vizuri so that was bullshit Ever.
 
Dawa za asili zipo usiwe mbishi Kwa kila kitu Mimi mzee wangu alikuwa hasikii .

Ila kuna Dawa alitumia akapona .

Nipo Bukoba Ila nikifika DSM Kwa mzee nitamuuliza hiyo Dawa.

Dawa zipo na zinatibu
Dawa za asili zipo na zinatibu kweli, ila kwa tatizo lililosababishwa na mwingne.

Ila aliyezaliwa na hilo tatizo haponi, mzee wako alirogwa huyo.
 
Back
Top Bottom