Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Sasa haya ni matumizi mabaya ya kodi. Kama vipi wananchi tukatae huu ubaguzi.Unataka wawatangaze wapinzani, hafu wakifukuzwa kazi utawalishia familia zao?
Siku ya Lissu akiwa Mbeya, walitoa kwenye taarifa ya Habari, baada ya hapo, ile ya Mtwara hawakuripoti na hata ya Zanzibar.
Wanajipenda. Hawataki kupata kile kilichompata Tido Mhando enzi zile na kipindi chake cha Jimboni.
Magufuli anang'olewa octoba 28 , wasiwasi wao unatokana na nini na huku kila kitu kishajulikana ?Unataka wawatangaze wapinzani, hafu wakifukuzwa kazi utawalishia familia zao?
Siku ya Lissu akiwa Mbeya, walitoa kwenye taarifa ya Habari, baada ya hapo, ile ya Mtwara hawakuripoti na hata ya Zanzibar.
Wanajipenda. Hawataki kupata kile kilichompata Tido Mhando enzi zile na kipindi chake cha Jimboni.
Acha kujitoa ufahamu mpuuzi wewe. Ukifungua tbc unamkuta nani? Hata sasa hivi Magufuli yuko live.Kama mgombea gani wa vyama vingine hajaonyeshwa?
Channel zote zinamwonyesha Dr Magufuli akiwa mubashara kule Geita!Acha kujitoa ufahamu mpuuzi wewe. Ukifungua tbc unamkuta nani? Hata sasa hivi Magufuli yuko live.
Hao ndio washauri wa Tundu Lisu bwashee!Kabla ya kuja na kusema inaendeshwa kwa kodi zetu je umeangalia invoices zote za TBC ukakuta hakuna inayowahusu CCM?
Kwani hiyo mishahara inatoka kwenye mshahara wake wa urais?Kwani anayeidhinisha 'Mishahara' yao ya kile 'Mwezi' ni Wewe, Tundu Lissu na Bernard Membe Mkuu? Kwa 'Mwerevu' asingeliuliza hili 'Swali' lako.
Hahahaaaa.......!Kwani anayeidhinisha 'Mishahara' yao ya kile 'Mwezi' ni Wewe, Tundu Lissu na Bernard Membe Mkuu? Kwa 'Mwerevu' asingeliuliza hili 'Swali' lako.
Wewe acha ujuha. Walifukuzwa kwa ukuda wao na hiyo sio sababu ya kutorusha mikutano ya wapinzani. Mishahara wanayolipwa inatokana pia na kodi za wapinzani. ...By the way Chauma, nccr tlp, cuf and the like nao pia waliwafukuza?Shut up.
Unajifanya hukumbuki mlivyo wafukuza TBC na kuwatishia wasithubutu kurusha matangazo yenu?
Shut up and apologize.
[emoji16]Magufuli anang'olewa octoba 28 , wasiwasi wao unatokana na nini na huku kila kitu kishajulikana ?
Magufuli anang'olewa octoba 28 , wasiwasi wao unatokana na nini na huku kila kitu kishajulikana ?
Mkuu umejuaje kama TBC 1 inamuonesha Magufuli tu? Ninyi si mliishaacha long time kuiangalia?TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
Jamani nyie so ndio mliwafukuza TBC leo kipi hasa kinawasibu kuwataka tena TBCAcha kujitoa ufahamu mpuuzi wewe. Ukifungua tbc unamkuta nani? Hata sasa hivi Magufuli yuko live.