chilamanyika
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 405
- 272
Chadema tayali walisha wafurusha TBC Sasa nini unatakaTBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?