muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Tatizo la sisi Waafrika hatujawahi kujiandaa na ya baadaye. Viongozi na washabiki wao wanaishi leo kama ambavyo tuna uhakika wa kula leo tu.
katiba hii hoi mbovu Kuna siku utakuja kuwaumiza sana ccm huko mbeleni.
katiba hii hoi mbovu Kuna siku utakuja kuwaumiza sana ccm huko mbeleni.